Arabela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 3,127
- 2,227
Aisee...muibukie huko kwao basi
utamsindikiza?
Aisee...muibukie huko kwao basi
Wasalam aleikum wana chitchat Muhammad wabarakatum!
Nawasalimia tu maana nahisi Kuna mtu anakaribia kuingia choo cha kike,ni hilo tu bandeko na ngai!
kwanza hiyo salam umekosea
isahihishe
inatamkwa Assalam aleykum warahma tullah wabarakatuh
utamsindikiza?
Anza kudeclare interest kwanza ndio uanze kuweka vigingi
apia!!
upendo wangu kwako ni ule wakutaka uwe my waifu. Sio siri usiku silali nakuwaza wewe Arabela naomba pumziko ndani ya moyo wako
nipe ruksa...
ruksaaaaa
Haya basi nitamleta huko...ila kabla ya kufanya hivyo ntaja mwenyewe
tumejipanga kukabiliana nae kwa kuwa nia tunayo na uwezo tunao wa kupambana nae