amahangaiko ga mujini ngambuza omwanya gwo kwija omu jf. Aisee aka akaisiki ninkagonza mno
Nakuonya acha kumpigia nitonye ndogondogo. mia mbili.
hahahaaaa...!!!. kila nikiona id yako nacheka sana. juzi nakupigia simu sijui ulijua unapigiwa na nani. haaaa...!!!. pole sana ndugu, mwenyewe niliponea kwenye tundu la sindano. mwenyewe sasa hivi nikipigiwa simu hata kama ndo mimi lakini nina mashaka nawe nakwambia umekosea namba. hahahaaa...maisha haya bana. mia
Kama ingekuwa ni ugonjwa ningesema nakaribia kukata kauli kwa jinsi mapigo ya moyo yanavyonienda mbio nimuonapo binti huyu. Arabela nakupenda sana nipe pumziko ndani ya moyo wako. Ni jambo lipi jema zaidi ya kumwambia mtu "NAKUPENDA"