Arabela naomba ufungue moyo wako nitonye hajiwezi

Arabela naomba ufungue moyo wako nitonye hajiwezi

Hivi ni kwambie kwa lugha gani unielewe ewe mrembo uwakae kama nyota zilizoko angani. Ninkugonza Arabela watwala omutima gwange gwona. Najiona nakarabia kuzama kwenye kilindi cha maji ambapo mtu pekee wa kuniokoa ni wewe Arabela.
Nakufananisha na dereva ewe binti uliye chukua moyo wangu ni lini utasema ndio ili moyo wangu upone.
Ewe binti ung'aae kama nyota angani moyo wangu unatamani kumulikiwa na wewe. Nakupenda sana haijalishi kama una mwanaume. Sema chocho mama mimi nitafanya hata kukubeba mgogoni kutoka kazini hadi nyumbani.

Jamani nitonye niseme nini kwakweli Arabela NAKUPENDA SANA

i cant betray my hubby.am sory
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom