Arabela naomba ufungue moyo wako nitonye hajiwezi

Arabela naomba ufungue moyo wako nitonye hajiwezi

amahangaiko ga mujini ngambuza omwanya gwo kwija omu jf. Aisee aka akaisiki ninkagonza mno

pole sana ndugu yangi. wote ndo hivyo hivyo. saa nyingine mambo yanabana mtu unapotea hata mwezi. kuhusu Arabela usijali, huyu ni kuku wetu manati ya nini?. bwana mdogo hana matatizo kabisa. mia
 
Last edited by a moderator:
amahangaiko ga mujini ngambuza omwanya gwo kwija omu jf. Aisee aka akaisiki ninkagonza mno

pole sana ndugu yangi. wote ndo hivyo hivyo. saa nyingine mambo yanabana mtu unapotea hata mwezi. kuhusu Arabela usijali, huyu ni kuku wetu manati ya nini?. bwana mdogo hana matatizo kabisa. mia
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Bado narudia swali langu.. Una mali zisizohamishika nitonye..? Mwenyewe umeona walivyokujia juu.. Arushaone na KOKUTONA wakiongoza unoko dhidi yako..

Na Arabela hatakujibu mpaka uonyeshe mali ulizonazo..! Endelea na mashairi yako ya bulicheka..
 
Last edited by a moderator:
Kama ingekuwa ni ugonjwa ningesema nakaribia kukata kauli kwa jinsi mapigo ya moyo yanavyonienda mbio nimuonapo binti huyu. Arabela nakupenda sana nipe pumziko ndani ya moyo wako. Ni jambo lipi jema zaidi ya kumwambia mtu "NAKUPENDA"

fanya plastik sajari
 
Last edited by a moderator:
pole sana ndugu yangi. wote ndo hivyo hivyo. kuhusu Arabela usijali, huyu ni kuku wetu manati ya nini?. bwana mdogo hana matatizo kabisa. mia

Ayaa! mmeshaanza kumuita Arabela ni kuku? Hayo madharau yameshanikifu!
 
Last edited by a moderator:
Zubedayo kiboko yake ukisema wewe ni mchawi, hafurukuti, tena kwa sura ya nitonye ilie akimtishia kumroga anakabidhi hadi cheti cha ndoa...

Alishatupwa kulee siku nyingi mkuu!
 
Last edited by a moderator:
mie nimetafsiri tu hicho kiinglishi...

Okey nimekuelewa ila nilishaandaa bomu la kurusha nikufanyie finishing! Nakuomba umtonye huyu nitonye kuwa akiona vinang'aa vimeng'arishwa.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha...kijana ndio anatafuta kwa nguvu zote mwenzi mpya baada ya ile ndoa ya awali kusuasua sana

Okey nimekuelewa ila nilishaandaa bomu la kurusha nikufanyie finishing! Nakuomba umtonye huyu nitonye kuwa akiona vinang'aa vimeng'arishwa.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom