Hivi ni kwambie kwa lugha gani unielewe ewe mrembo uwakae kama nyota zilizoko angani. Ninkugonza Arabela watwala omutima gwange gwona. Najiona nakarabia kuzama kwenye kilindi cha maji ambapo mtu pekee wa kuniokoa ni wewe Arabela.
Nakufananisha na dereva ewe binti uliye chukua moyo wangu ni lini utasema ndio ili moyo wangu upone.
Ewe binti ung'aae kama nyota angani moyo wangu unatamani kumulikiwa na wewe. Nakupenda sana haijalishi kama una mwanaume. Sema chocho mama mimi nitafanya hata kukubeba mgogoni kutoka kazini hadi nyumbani.
Jamani nitonye niseme nini kwakweli Arabela NAKUPENDA SANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.