wilbert peter
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 244
- 221
Kamanda pole sana bwana wanenda kujengaMziki upi? Hatutaki watu wasiothamini uhai na utu wa watu wengine.
Hatutataki watu wasiojali shida na mateso ya watu wengine.
Hatutaki watu wasiothamini ustawai wa maisha ya watu huku wakithamini ustwai wa vitu maana hata kina Hitler na wakoloni pia walileta maendeleo ya vitu ila walipuuza utu wa watu na leo hawakumbukiwi kwa maendeleo ya vitu bali kwa matendo yao yasiyo ya kiutu.
Sent using Jamii Forums mobile app