Acha hiyo kitu utakufa mapemaHiv app gani ambauo utaweza hacking mawasiliano ya mtu kuanzia sms, caller na kuendelea
Mkuu, hii sio kwa ajili ya izi Hotspot za simu zetu!!! Tunazungumzia zile WiFi Hotspot za vyuoni, Mahotelini, Ukumbini, Kwenye vituo vya Redio, Shuleni, Ofisini, Kwenye sheli za mafuta, kwenye viwanda, zile ambazo ziko Public lakini ni Secure/ina password/kakufuli, so kama upo mfano Dar maeneo ya Ubungo au Uhuru unaifungua app kisha una search labda Ubungo au Uhuru Street, itakuletea WiFi zote zilizopo maeneo hayo zilizo secure na unsecure, na kwa zenye kakufuli au zinazohitaji passwords itakuonyesha pale Jina la WiFi na kwa chini yake Password zake!,,, na kuna baadhi ya wamiliki wa izi Wireless wameweka passwords za matusi kabisa...!!!!Mkuu hii app kazi yake ni kutafuta home wifi ya sehemu uliyopo au maan hapa nina simu mbili moja nimewasha hotspot ili nifanye testing ila nimetumia hii app kusearch lakini sjaona hii simu nyingi ila nikiingia kwenye wifi niki search naiona ila kwa hii apps naziona tu home wifi naomba maelezo kwa hili imebase sana wapi hii app
Mkuu, hii sio kwa ajili ya izi Hotspot za simu zetu!!! Tunazungumzia zile WiFi Hotspot za vyuoni, Mahotelini, Ukumbini, Kwenye vituo vya Redio, Shuleni, Ofisini, Kwenye sheli za mafuta, kwenye viwanda, zile ambazo ziko Public lakini ni Secure/ina password/kakufuli, so kama upo mfano Dar maeneo ya Ubungo au Uhuru unaifungua app kisha una search labda Ubungo au Uhuru Street, itakuletea WiFi zote zilizopo maeneo hayo zilizo secure na unsecure, na kwa zenye kakufuli au zinazohitaji passwords itakuonyesha pale Jina la WiFi na kwa chini yake Password zake!,,, na kuna baadhi ya wamiliki wa izi Wireless wameweka passwords za matusi kabisa...!!!!
Haya wadau maelezo ya setting ktk jet audio kupata sauti maridadi kabisa.ukikwama unauliza.
Nenda playstore kisha pakua jetaudio install.nenda ktk system file(files)chagua audio yoyote kisha recommend kuplay ktk jet audio itafunguka jet na kuanza kucheza hiyo audio,kisha fuatilia maelezo haya kupata kitu tofauti.
1.angalia juu ktk screen ya jet kuna icon za customization saba,baada ya jina la wimbo,hesabu ya tatu kutoka kushoto gusa(uwe makini ukigusa hovyo zinajificha,mpaka uguse tena).
2.baada ya kufunguka utakutana na neno equalizer(hakikisha icon yake inawaka blue)halafu custom ni flat au unaweza badilisha ukachagua room nyingine.
SETTING.
Preamp sogeza cussor mpaka mwisho kulia 10+.hii ndio booster ya sauti.
Line no moja inayofuata chini take sogeza cussor kulia mpaka 4+(hii ndio base waweza pandisha na kupunguza kwa kusogeza kulia na kushoto.
Line ya tatu sogeza kushoto mpaka -8.
Line ya nne kushoto -4
Line ya tano neutro 0
Line ya sita kulia mpaka +5
Line ya saba peleka mwisho kabisa kulia +10(hii ni treble,mchicha unaweza punguza kwa kupelekà kushoto)
Line ya nane peleka kulia mpaka +5
Line ya tisa neutron 0
Line ya kumi nenda kushoto -4
Line ya kumi na moja peleka kulia mpaka +10.
Baada ya hapo automatic umbo la cussor litakuwa kama herufi K iliyogeuzwa nyuma.na baada ya hapo utahisi kitu tofauti ktk masikio yako,kisha back.hata kama una karedio kachovu kachovu utahisi kamepata uhai uliotukuka.
Note:huwa ina tabia kama ya kupunguza base usipowasha muda mrefu,usiogope wewe gusa tu icon yako ile ya tatu utashangaa imeshtuka base tena.
Ukikwama uliza.
Tunaanzia hapo.
Hahahaaaa ngoja nikutumieHaha kapicha kidogo hyo mmiliki password mfano
Kwanza nikushukuru mkuu maana kule pro kulikuwa na limit kibao,naona huku zimepungua imezidi kuwa Kali vibaya mno.Mkuu umetisha sana ila kwanini unatumia version ya bure ebu chukua hapa ya kulipia JetAudio Music Player EQ Plus v9.1.0 + MOD [Latest] | APK Ocean
Haha kapicha kidogo hyo mmiliki password mfano
Password ya ITV Tanzania...dah nimeijaribu ni hatariIyo ni kiboko! Hata mtu aki update password nayo ina update pia, ina show passwords alizo change, ila mapungufu yake ni kua unahitaji kua connected to the internet ili iweze kufanya kazi, then uta copy passwords zako na utafanya yako.... Ila kwa usalama zaidi wa mambo yako utakayokua unafanya online pindi utakapo kua umefanikiwa ku connect na moja ya secure WiFi, basi huna budi kutumia VPN ili ku hide IP address yako na original location....
namna ya kutumia vpn weka darasa hapa
nja ya kwanza download add brocker app zipo nyingi tuu play storeAsante kwa kuja..
Mi nataka app ya kuzuia matangazo kwenye cm maana kunabmda unafanya kitu cha maana aau unasoma hapo hapo linatokea tangazo