Application muhimu kwa smartphone yako

Application muhimu kwa smartphone yako

Download "Tanzania WiFi Map" iko umo umo ndani ya app, then kwa juu kuna sehemu ya "search" andika jina la sehemu au eneo, au hotel, chuo, redio station, office, ukumbi,sheli ya mafuta, kioski,,,,, palipo na secure Wi-Fi, itakuletea Wireless zilizopo eneo husika na passwords zake pia, soma post yangu ya awali kuna maelezo ya ziada....
Sio prank hii? Vipi we ulishaitumia?
 
Hebu tuma icon yake hapa, au interface screenshot
IMG_20171013_084957_183.jpg
Icon yake ndio hiyo....
 
Habari wana JamiiForums,

Leo nimeona niandike kuhusu application za smartphone.

Zifuatazo ni application za smartphone ambazo ninazitumia na zinanisaidia sana;

1.LIBRERA
Hii ni app ya kusomea vitabu ina vitu vingi zaid ya adobe acrobat unaweza weka kitabu cha pdf isome kwa sauti unayotaka we inakua ni kusikiliza tuu na inaweza weka page itembee yenyewe na vingine kama kufungua epub na fomart zote za maandishi na vinginevyo

2 MP3 cutter
Hii ni ndogo sana chini ya 500kb hii hutumika kuondoa matangazo na sehemu katika wimbo ambazo huzipendi

3 MX PLAYER
Hii ni video player ambayo ukidownload wimbo mpya hunashida ya kutafuta yenyewe kitu kipya ina mark kama new pia ina userinterface nzuri

4 POWERAMP
Hii ni audio player nzuri sana wengi wanaijua ila unatumia week bac baada ya hapo unainunua lakini pia kuna uzi humu ulishajadili namna ya kuifungua for lifetime free

5 PRIVATE NOTE
Hii ni app ya kuhifadhi notes zako za muhimu mfano unasoma uzi jf na data zinakaribia isha basi una copy unaufifadhi kwa app ili kusoma offline.pia hii app unaweza uka weka email ikawa inatuma kwa email yako hata ikitokea sim imepotea una nunua sim nyingine una download hii app inarudisha tena notes kwa simu kutoka kwa email yako .faida nyingine ikiweka notes kwa email yako hutoziona ata ukifungua email mpaka uiweke app kwa simu ndo izirudishe

6 HAKIKI
Hii ni app nzuri kwa wajasiriamali kama m-pesa tigo-pesa na airtel money agents hii app inatumika offline inakupa chart mbalimbali kuhusu matumizi yako ya m-pesa ina kueleza miamala uliofanya na faida nyingine kubwa ina kutengenezea transaction statment(bank statment) katika pdf juu ya miamala yote ulofanya na unaweza print unachotakiwa ni kuto futa sms za miamala kabla huja create bank statment(samahani hili sio neno sahii nmetumia unielewe tuu sjui wanaitaje hizi statments haa haa)

7 PURIfy
Hii ni app nzuri sana ku boost simu kwani ina boost kwa kuzima app zotee na kutunza chaji vizuri hii kwangu ndo best kwani nmetumia kama du battery saver na nyinginezo ila kwa hii inafanya vizuri especially kwa simu ambazo hazina ultra power saver

8 TIGO BACKUp
Hii ni kwa wale wenye lain za tigo inafanya security pale ukiibiwa simu inafeature nyingi za buru na za kuripia ila mimi feature nnayotumia ya bure ambayo nmeipenda ni pale ukibadili laini tuu inatuma ujumbe wa namba mpya iliyowekwa kwa namba zingine zaweza kua rafiki au jamaa uliyeseti apokee ujumbe ukiibiwa simu

9 WOrdWeb
Hii ni dictionary ya english to english ambayo inatumika offline na ina maneno mengi sana

10 VIDEORDER
Hii ni ya kudownload video katika fomart mbalimbali youtube pia ina convert video to audio pia inakupa option ya kudawnload mp3 katika wimbo wa video youtube

11 FREEBASICS
HII NI kwaajili ya kutumia jammiiforum bureeeeee bila kuweka vocha
(kwa sie wenye bando la kuunga unga haah haaah)

Next time Mungu akijalia tutajifunza namna ya kubadili kuondoa battery notification sound
kuandika jina lako mfano notification kama BATTERY LOW CONNECT CHARGER kuibadili na kuwa WE MWENYE SIMU HEBU CHOMEKA CHAJA NIMEISHAA haa haa na mengine mengi tuu tuombe uzima

Samahani sana kwa uandishi wangu mbovu lakin nahis utanielewa

See you next time
Mkuu nielekeze hiyo LIBRERA na jinsi ya kuweka page isome kwa sauti kwangu nimedownload ila haisomi kwa sauti.
 
Mkuu nielekeze hiyo LIBRERA na jinsi ya kuweka page isome kwa sauti kwangu nimedownload ila haisomi kwa sauti.
Weka hapo kwenye easy mode ,ikifungua page kwa jui utaona kialama kama cha speaker then kibonyeze itaanza kusoma,Ukitaka kubadilisha sauti iwe ya me au ke nenda pale kwenye advanved..
 
"Times9, post: 23922600, member: 419167"]Unajua maana ya neno HACK..!?
IMG_20171013_101148_074.jpg
IMG_20171013_101210_315.jpg
 
Mkuu ahsante sana, nime-download poweramp kusema ukweli toka moyoni hii app inazitendea haki headphones zangu za jbl. Thanks a lot
 
Jet audio.

Kwa wapenda sauti nzito na ya juu ktk headphones.Ila shart isetiwe.picha kuatarch humu hata sijui.

Ila atakayedownload aifungue hapa hapa nimpe maelekezo na wengine waone.

Uzuri wa hii haina muda utaitumia tuuuuuuu,sio kama Poweramp.
 
Naongezea apo! Kwa wale tusopenda kununua bando tunavizia public WiFi ambazo ni secure/ina password au router wifi ya jirani yako au uko Town afu kuna wifi ina security basi tumia WIFI MAP iko play store itaifungua na utasearch location ulipo na itaonyesha WiFi zinazokuzunguka na passwords za izo Wi-Fi waliozoweka jamaa,.... NB: GPS iwe ON muda uo ili iwe rahisi location yako kua recognized na WiFi Map na ukumbuke kudownload Tanzania WiFi Map iliopo umo umo kwenye App iyo...


Chief-Mkwawa msaada mkuu kwa hili
 


Mkuu hii app kazi yake ni kutafuta home wifi ya sehemu uliyopo au maan hapa nina simu mbili moja nimewasha hotspot ili nifanye testing ila nimetumia hii app kusearch lakini sjaona hii simu nyingi ila nikiingia kwenye wifi niki search naiona ila kwa hii apps naziona tu home wifi naomba maelezo kwa hili imebase sana wapi hii app
 
Back
Top Bottom