Application muhimu kwa smartphone yako

Application muhimu kwa smartphone yako

Jet audio.

Kwa wapenda sauti nzito na ya juu ktk headphones.Ila shart isetiwe.picha kuatarch humu hata sijui.

Ila atakayedownload aifungue hapa hapa nimpe maelekezo na wengine waone.

Uzuri wa hii haina muda utaitumia tuuuuuuu,sio kama Poweramp.
Power ramp naye haina ukomo endapo utaipatch kwa Lucky patcher
 
Power ramp naye haina ukomo endapo utaipatch kwa Lucky patcher
Tatizo mpaka uroot device yako,wakati huo marshmallow kuendelea sio rahisi tena kuroot kwa layman.

Halafu power ramp ina sound distotal ukiongeza base.wakati kwa jet audio hiyo kitu haipo na ina boost sauti bia kwa ratio ya bar moja zaidi ya sauti ya kawaida kwa wale wenye device zenye sauti ndogo.
 
Tatizo mpaka uroot device yako,wakati huo marshmallow kuendelea sio rahisi tena kuroot kwa layman.

Halafu power ramp ina sound distotal ukiongeza base.wakati kwa jet audio hiyo kitu haipo na ina boost sauti bia kwa ratio ya bar moja zaidi ya sauti ya kawaida kwa wale wenye device zenye sauti ndogo.
Yea but mm nikuombe kitu msaada wa hii Jet audio, jins ya kufany iwe na hzo sifa unazosema
 
Tatizo mpaka uroot device yako,wakati huo marshmallow kuendelea sio rahisi tena kuroot kwa layman.

Halafu power ramp ina sound distotal ukiongeza base.wakati kwa jet audio hiyo kitu haipo na ina boost sauti bia kwa ratio ya bar moja zaidi ya sauti ya kawaida kwa wale wenye device zenye sauti ndogo.
Mkuu unaweza nisaidie jinsi ya kuset ile standard nzuri katika jet audio player
 
Habari wana JamiiForums,

Leo nimeona niandike kuhusu application za smartphone.

Zifuatazo ni application za smartphone ambazo ninazitumia na zinanisaidia sana;

1.LIBRERA
Hii ni app ya kusomea vitabu ina vitu vingi zaid ya adobe acrobat unaweza weka kitabu cha pdf isome kwa sauti unayotaka we inakua ni kusikiliza tuu na inaweza weka page itembee yenyewe na vingine kama kufungua epub na fomart zote za maandishi na vinginevyo

2 MP3 cutter
Hii ni ndogo sana chini ya 500kb hii hutumika kuondoa matangazo na sehemu katika wimbo ambazo huzipendi

3 MX PLAYER
Hii ni video player ambayo ukidownload wimbo mpya hunashida ya kutafuta yenyewe kitu kipya ina mark kama new pia ina userinterface nzuri

4 POWERAMP
Hii ni audio player nzuri sana wengi wanaijua ila unatumia week bac baada ya hapo unainunua lakini pia kuna uzi humu ulishajadili namna ya kuifungua for lifetime free

5 PRIVATE NOTE
Hii ni app ya kuhifadhi notes zako za muhimu mfano unasoma uzi jf na data zinakaribia isha basi una copy unaufifadhi kwa app ili kusoma offline.pia hii app unaweza uka weka email ikawa inatuma kwa email yako hata ikitokea sim imepotea una nunua sim nyingine una download hii app inarudisha tena notes kwa simu kutoka kwa email yako .faida nyingine ikiweka notes kwa email yako hutoziona ata ukifungua email mpaka uiweke app kwa simu ndo izirudishe

6 HAKIKI
Hii ni app nzuri kwa wajasiriamali kama m-pesa tigo-pesa na airtel money agents hii app inatumika offline inakupa chart mbalimbali kuhusu matumizi yako ya m-pesa ina kueleza miamala uliofanya na faida nyingine kubwa ina kutengenezea transaction statment(bank statment) katika pdf juu ya miamala yote ulofanya na unaweza print unachotakiwa ni kuto futa sms za miamala kabla huja create bank statment(samahani hili sio neno sahii nmetumia unielewe tuu sjui wanaitaje hizi statments haa haa)

7 PURIfy
Hii ni app nzuri sana ku boost simu kwani ina boost kwa kuzima app zotee na kutunza chaji vizuri hii kwangu ndo best kwani nmetumia kama du battery saver na nyinginezo ila kwa hii inafanya vizuri especially kwa simu ambazo hazina ultra power saver

8 TIGO BACKUp
Hii ni kwa wale wenye lain za tigo inafanya security pale ukiibiwa simu inafeature nyingi za buru na za kuripia ila mimi feature nnayotumia ya bure ambayo nmeipenda ni pale ukibadili laini tuu inatuma ujumbe wa namba mpya iliyowekwa kwa namba zingine zaweza kua rafiki au jamaa uliyeseti apokee ujumbe ukiibiwa simu

9 WOrdWeb
Hii ni dictionary ya english to english ambayo inatumika offline na ina maneno mengi sana

10 VIDEORDER
Hii ni ya kudownload video katika fomart mbalimbali youtube pia ina convert video to audio pia inakupa option ya kudawnload mp3 katika wimbo wa video youtube

11 FREEBASICS
HII NI kwaajili ya kutumia jammiiforum bureeeeee bila kuweka vocha
(kwa sie wenye bando la kuunga unga haah haaah)

Next time Mungu akijalia tutajifunza namna ya kubadili kuondoa battery notification sound
kuandika jina lako mfano notification kama BATTERY LOW CONNECT CHARGER kuibadili na kuwa WE MWENYE SIMU HEBU CHOMEKA CHAJA NIMEISHAA haa haa na mengine mengi tuu tuombe uzima

Samahani sana kwa uandishi wangu mbovu lakin nahis utanielewa

See you next time

Mkuu mbona hazipo kwenye I phone
 
Naongezea apo! Kwa wale tusopenda kununua bando tunavizia public WiFi ambazo ni secure/ina password au router wifi ya jirani yako au uko Town afu kuna wifi ina security basi tumia WIFI MAP iko play store itaifungua na utasearch location ulipo na itaonyesha WiFi zinazokuzunguka na passwords za izo Wi-Fi waliozoweka jamaa,.... NB: GPS iwe ON muda uo ili iwe rahisi location yako kua recognized na WiFi Map na ukumbuke kudownload Tanzania WiFi Map iliopo umo umo kwenye App iyo...
We jamaa nitakutafuta
 
Mwenye uelewa wa app nzuri ya kublock haya matangazo ya kwenye apps, yanazingua sana
 
Yea but mm nikuombe kitu msaada wa hii Jet audio, jins ya kufany iwe na hzo sifa unazosema
Dah mkuu ingekuwa rahisi sana kama ningeweza kuapload picha humu,tatizo hata sijui namna ya kiziweka humu.
 
Ningeweza kurusha screenshot humu,tatizo hata Sjui inawekwaje hapa jukwaani.

Kama unatumia browser mkuu ni hivi ukishafika kwenye reply kwa chini utakuta hivi na unata tap hapo kwenye kilichozungushiwa alama nyekundu hatimae utafanikiwa
20171013_224605_rmedited.jpg
 
Haya wadau maelezo ya setting ktk jet audio kupata sauti maridadi kabisa.ukikwama unauliza.


Nenda playstore kisha pakua jetaudio install.nenda ktk system file(files)chagua audio yoyote kisha recommend kuplay ktk jet audio itafunguka jet na kuanza kucheza hiyo audio,kisha fuatilia maelezo haya kupata kitu tofauti.

1.angalia juu ktk screen ya jet kuna icon za customization saba,baada ya jina la wimbo,hesabu ya tatu kutoka kushoto gusa(uwe makini ukigusa hovyo zinajificha,mpaka uguse tena).

2.baada ya kufunguka utakutana na neno equalizer(hakikisha icon yake inawaka blue)halafu custom ni flat au unaweza badilisha ukachagua room nyingine.

SETTING.

Preamp sogeza cussor mpaka mwisho kulia 10+.hii ndio booster ya sauti.

Line no moja inayofuata chini take sogeza cussor kulia mpaka 4+(hii ndio base waweza pandisha na kupunguza kwa kusogeza kulia na kushoto.

Line ya tatu sogeza kushoto mpaka -8.

Line ya nne kushoto -4

Line ya tano neutro 0

Line ya sita kulia mpaka +5

Line ya saba peleka mwisho kabisa kulia +10(hii ni treble,mchicha unaweza punguza kwa kupelekà kushoto)

Line ya nane peleka kulia mpaka +5

Line ya tisa neutron 0

Line ya kumi nenda kushoto -4

Line ya kumi na moja peleka kulia mpaka +10.

Baada ya hapo automatic umbo la cussor litakuwa kama herufi K iliyogeuzwa nyuma.na baada ya hapo utahisi kitu tofauti ktk masikio yako,kisha back.hata kama una karedio kachovu kachovu utahisi kamepata uhai uliotukuka.



Note:huwa ina tabia kama ya kupunguza base usipowasha muda mrefu,usiogope wewe gusa tu icon yako ile ya tatu utashangaa imeshtuka base tena.

Ukikwama uliza.
 
Tunaanzia hapo.
 

Attachments

  • Screenshot_2017-10-13-23-04-21.png
    Screenshot_2017-10-13-23-04-21.png
    51.3 KB · Views: 195
  • Screenshot_2017-10-13-23-02-09.png
    Screenshot_2017-10-13-23-02-09.png
    182.7 KB · Views: 173
Mbon hiii wifi map kwangu siiiyelewi, maana ina copy na cjui zinakwenda wpi, nisaidieni
 
Back
Top Bottom