Haya wadau maelezo ya setting ktk jet audio kupata sauti maridadi kabisa.ukikwama unauliza.
Nenda playstore kisha pakua jetaudio install.nenda ktk system file(files)chagua audio yoyote kisha recommend kuplay ktk jet audio itafunguka jet na kuanza kucheza hiyo audio,kisha fuatilia maelezo haya kupata kitu tofauti.
1.angalia juu ktk screen ya jet kuna icon za customization saba,baada ya jina la wimbo,hesabu ya tatu kutoka kushoto gusa(uwe makini ukigusa hovyo zinajificha,mpaka uguse tena).
2.baada ya kufunguka utakutana na neno equalizer(hakikisha icon yake inawaka blue)halafu custom ni flat au unaweza badilisha ukachagua room nyingine.
SETTING.
Preamp sogeza cussor mpaka mwisho kulia 10+.hii ndio booster ya sauti.
Line no moja inayofuata chini take sogeza cussor kulia mpaka 4+(hii ndio base waweza pandisha na kupunguza kwa kusogeza kulia na kushoto.
Line ya tatu sogeza kushoto mpaka -8.
Line ya nne kushoto -4
Line ya tano neutro 0
Line ya sita kulia mpaka +5
Line ya saba peleka mwisho kabisa kulia +10(hii ni treble,mchicha unaweza punguza kwa kupelekà kushoto)
Line ya nane peleka kulia mpaka +5
Line ya tisa neutron 0
Line ya kumi nenda kushoto -4
Line ya kumi na moja peleka kulia mpaka +10.
Baada ya hapo automatic umbo la cussor litakuwa kama herufi K iliyogeuzwa nyuma.na baada ya hapo utahisi kitu tofauti ktk masikio yako,kisha back.hata kama una karedio kachovu kachovu utahisi kamepata uhai uliotukuka.
Note:huwa ina tabia kama ya kupunguza base usipowasha muda mrefu,usiogope wewe gusa tu icon yako ile ya tatu utashangaa imeshtuka base tena.
Ukikwama uliza.