iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 5,008
- 9,408
Mkuu,kama izo Wireless ziko karibu na eneo unaloishi na huwa unaziona kupitia wifi ya kwenye simu na zinakudai password sindo una copy izo then unaenda ku paste kule kwenye sehemu ya password kwa Wireless husika,,,au unziandika pembeni then utazijaza kama WiFi uliyoiona hapo itakua inapatikana eneo ulipo.....![]()
Msaada nimekwama tutani mkuu,hapo nikishaipata hivi na password zikaja hivi naendelea wapi ili nianze kuitumia?