Vamosdm05
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 409
- 506
Kwenye Keynote ya Apple ya iphone 11....Fans wa Apple walikua wanashangilia kuongezeka kwa battery capacity ya simu hizi...wewe unakuja hapa kutuchanganyia habari.Wanaolalamika kuhusu chaji ni wale wanaishi kwa shemeji I can’t imagine siku nyingine mtu unakuwa busy hata kupokea Simu ama kujibu sms mtu unashindwa halafu uje uniambie berti ni ndogo sana
Sent using IPhone X
Samsung Galaxy