mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,749
- 37,360
atleast sasa tuwasifie kwa kuamua kuiga wengine wanachofanya.huwezi ukajidai miaka yote kwamba wewe ni mzee wa premium products tu, hutoi za makapuku.Samsung, huwaei na oneplus wamewakalia pabaya wazee wa apple hata ubunifu umeisha kabisa, simu hiyo ni basic sana kwa huu mzigo wa pesa.
wenzie wana masimu kibao, mengine yanakaa charge sio kawaida, yeye akomae na ujinga hajipendi!
Sent using Jamii Forums mobile app