mimi nakushauri uwe unanisoma kwa utulivu.
au ili uelewe anzia kwa ninayemjibu,au vipi??
hakuna sehemu nimesema italingana na iphone 5,nimeandika ladha ya iphone 5 kwenye 12,itasikika zaidi kwenye 12 mini maana ni kasimu kadogo zaidi,ingawa itakuwa na glass nje.
mkuu tuliza akili basi,mbona unaendelea kupuyanga!!!!12 mini siyo kasimu kadogo wala ladha yake haifanani na 5 . Ni vitu viwili tofauti tena kwa kila kitu. Jina mini lisikudanganye
mkuu tuliza akili basi,mbona unaendelea kupuyanga!!!!
hata wao kuamua kuiita min wanamaanisha,simu ndogo kiumbo sio kiuwezo.au zimelingana zote kwa mujibu wa google yako??
kwani hata ilipotoka SE 2,ulitaka ifanane mpaka ram ndio ukubali kwamba hii ni SE???
Usijidanganye mkuu fanya uchunguzi wa 12mp na 108 mp ndio unajuaHawa jamaa bhana camera zao huwa wanafanyaje? utakuta 12mp camera kali kuliko 108mp za simu zingne naelewa somo la mega pixels...ila wao huwa wanafabyaje nauliza
hiyo simu kwa screen ya 5.4 kiumbo haitaizidi iphone 6,maana itakuwa ndogo kiumbo kuliko iphone x yenye 5.8.ambayo kimsingi huwa inazidi urefu kidogo ipjone 6.Mkuu 12 mini kiumbo ni kubwa sana haifanani na 5 . Ndo maana nikakwambia jina mini linakudanganya . 12 mini imeizidi iphone 6 kiukubwa sasa unailinganishaje na 5 ? Acha ubishi mkuu google kwanza utaona kwamba ni makosa kuitaja 5 na 12 mini kwenye suala lolote including umbo.
Soma hapo vzr mkuuHawa jamaa bhana camera zao huwa wanafanyaje? utakuta 12mp camera kali kuliko 108mp za simu zingne naelewa somo la mega pixels...ila wao huwa wanafabyaje nauliza
Kuna possibility kubwa kupata refurb ukinunua hapa kwetu ama chanell za kichina kama Aliexpress, Gearbest etc.Mkuu nataka ninunue s9 plus nifahamishe jinsi yakuepuka refurb
Seems hizi aspect ratio mpya zinakuchanganya. Device za sasa zina vioo vikubwa kwenye maumbo madogo.Mkuu 12 mini kiumbo ni kubwa sana haifanani na 5 . Ndo maana nikakwambia jina mini linakudanganya . 12 mini imeizidi iphone 6 kiukubwa sasa unailinganishaje na 5 ? Acha ubishi mkuu google kwanza utaona kwamba ni makosa kuitaja 5 na 12 mini kwenye suala lolote including umbo. Huwezi pata ladha ya 5 kwenye 12 mini mkuu .
Thanks sanaKuna possibility kubwa kupata refurb ukinunua hapa kwetu ama chanell za kichina kama Aliexpress, Gearbest etc.
Ngumu kuijua simu refurbished mpaka uishike mkononi, ukiwa nayo mkononi unaweza angalia
1. Model yake kama ni simu ililokiwa na mitandao ya simu ya nje ama ni international version G960F ama G960F/DS ni international, zilizobakia sio za hapa kwetu. Na njia ya uhakika kujua model ya simu yako ni kuingia download mode.
2. Pia zipo apps nyingi zinazoangalia data za simu yako mfano ni mara ngapi headphone imechomekwa, mara ngapi charger imechomekwa etc mfano wa hizi apps ni kama samsung info. Hivyo mtu akikwambia brand new open box lakini ukicheki imeshakuwa charged mara 500 ujue hapo unapigwa mchana kweupe.
Official site ya samsung.Thanks sana
Wapi naweza agiza na nikapata ambayo siyo refub
Website ambazo Samsung wenyewe wanauza, mfano Amazon.Thanks sana
Wapi naweza agiza na nikapata ambayo siyo refub
Official site ya samsung.
🤝Website ambazo Samsung wenyewe wanauza, mfano Amazon.
Haswaa.Pesa ndo tatizo
hahahaanaleta utani kwenye serious.
Kabisa, hako ka-min ndo kenyewe sasa kwa watu tusiopenda sim kubwa.shida ni kwamba hauko pure 5 maana una glass.ila wamejitahidi kuirudisha huku wakikimbizana na mahitaji ya sasa ya kioo kikubwa,wakaona walete na simu ndogo ambayo itakaribia zaidi ladha ile ile ya iphone 5,12 mini.
katakiwa kadogo kabisa.
Mkuu kuna hili suala,Iphone ikiwa na charge 90℅ ukaiacha hata masaa mawili unakuta asilimia hizo hizo hazijapungua ila ni tofauti kwa Android,yenyewe ukiiacha hata kama huitumii utakuta charge imedrop....Hii hasa inasababishwa na nini kama unafahamKuna possibility kubwa kupata refurb ukinunua hapa kwetu ama chanell za kichina kama Aliexpress, Gearbest etc.
Ngumu kuijua simu refurbished mpaka uishike mkononi, ukiwa nayo mkononi unaweza angalia
1. Model yake kama ni simu ililokiwa na mitandao ya simu ya nje ama ni international version G960F ama G960F/DS ni international, zilizobakia sio za hapa kwetu. Na njia ya uhakika kujua model ya simu yako ni kuingia download mode.
2. Pia zipo apps nyingi zinazoangalia data za simu yako mfano ni mara ngapi headphone imechomekwa, mara ngapi charger imechomekwa etc mfano wa hizi apps ni kama samsung info. Hivyo mtu akikwambia brand new open box lakini ukicheki imeshakuwa charged mara 500 ujue hapo unapigwa mchana kweupe.