Unatumia app mpya?This should be fixed aisee, hii ni crisis.
Duuh inakuwaje? Ebu ongezea nyama ,ulijuaje kama haikuwa intended kwako?This should be fixed aisee, hii ni crisis.
Duuh inakuwaje? Ebu ongezea nyama ,ulijuaje kama haikuwa intended kwako?
Unatumia app mpya?
Hiyo achana nayo, Ina glitches balaa
Hapo jf wamebugi na tulishawahi Peleka malalamiko ila hakuna kitu wamefanya. Ni kheri wakaistop app mazimaYaani ni watu wawili wanachat , ila meseji zimekuja kwangu wakati sijawahi kuchat na watu hao. Na sio convo moja karibia tano,
daahYaani ni watu wawili wanachat , ila meseji zimekuja kwangu wakati sijawahi kuchat na watu hao. Na sio convo moja karibia tano,
Ili iweje sasa🤣🤣Hiyo bahati inidondokee na mimi jamani.!
Kwanza kilichonifanya nitoke kule ni sehemu ya kutype imefichwa na keyboardApp mpya ina bugs nyingi sana, members niliowaweka ignore list contents zao zinaonyeshwa, pia binafsi naona mtiririko jinsi comments zinavyoonekana inachosha kusoma. Sasa hivi natumia browser tu
Hatari sana hiyo.Yaani ni watu wawili wanachat , ila meseji zimekuja kwangu wakati sijawahi kuchat na watu hao. Na sio convo moja karibia tano,
Kwanza kilichonifanya nitoke kule ni sehemu ya kutype imefichwa na keyboard
Lakini wakiiboresha itakuwa bomba sana,tuwape muda siku zote mambo mapya yana changamoto sana