App mpya ya JF hii sijaielewa

App mpya ya JF hii sijaielewa

Ningeendelea kubaki na version ya zamani
Hapa ku search jambo ina ka mlolongo
Uki post kuedit shida
Ukiweka Link ya Uzi uliopita ukibonyeza kuusoma inagoma

NIMEREJEA KWENYE WEB BROUSER KAWAIDA SASA


Britanicca
Delete old version.. Install new one
 
Ningeendelea kubaki na version ya zamani

Hapa ku search jambo ina ka mlolongo
Uki post kuedit shida

Ukiweka Link ya Uzi uliopita ukibonyeza kuusoma inagoma

NIMEREJEA KWENYE WEB BROUSER KAWAIDA SASA


Britanicca
Ndo maana waswahili walisema, kipya kinyemi japo. Kidonda. Ni mazoea tu. Siku zote ukisha zoea kitu kikibadilika itachukua muda kidogo kuzoea na hatimaye kukipenda
 
Ningeendelea kubaki na version ya zamani

Hapa ku search jambo ina ka mlolongo
Uki post kuedit shida

Ukiweka Link ya Uzi uliopita ukibonyeza kuusoma inagoma

NIMEREJEA KWENYE WEB BROUSER KAWAIDA SASA


Britanicca
naunga mkono hoja mia kwa mia 🐒
 
Hiyo kila nikiifungua inanitaka nilog in upya sina huo muda bora web tu
 
Sijawahi kutumia app, anyway inasikitisha sana
 
Kama usumbufu ni mwingi mnaweza kuacha kutumia JF, fanyeni issies nyingine.
 
Back
Top Bottom