App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

Maxence Melo mimi binafsi katika kutumia hii new update nimepata changamoto kazaa.
1. Editing imeondolewa ukikosea kucomment ata neno dogo, au uzi mzima uwezi ku edit kwa app hii mpya, labda urudi kwenye hile ya zamani.

2. Write Reply inajificha chini ya keyboad yqani unachokiandika akionekani mbaka uwe unatoka kwa kubonyeza back button ndo uone kama umeandika kitu gani. (Napendekeza Ukiingia kwenye reply basi kila kitu kuhusu reply kionekane kwa juu na kila unachoandika kionekane hili ukibonyeza neno ambalo silo uweze kulibadirisha kwa wakati )

3. POOL Naandika maneno haya kwa wino mzito kabisa na kuuzunika, kwa masikitiko makubwa maana ni kitu nilichokipenda sana kwenye JF pool imeondolewa na Mabandiko yote yenye Pool, Pools zake hazionekani kabisa.

4. Maswala mengine madogo madogo ni kama vile
• Banner adding button, kwenye app hii mpya uwezi kuweka banner kwenyw profile yakl, labda ubadiriahe avator tu kwa ku upload lakini uwezi kuweka banner.
• Add link haipo sawa (hapa napendekeza mtu akiadd link kwa maandishi ya moja kwa moja mfano, www.katibampya.com basi link iwe clickable na akiamua kubonyeza kitufe cha add link kilicho kwenyw reply basi itokee pop up yenye Kuweka link na Maneno yaani kama ilivyokuwepo hapo awali kwamba unaweza kjweka link nyuma ya maandishi mengineyo.
• Video playing Error, video kwangu haiplay kabisa inaweza alama ya zig zag na aiwezi ku play
• Notification, ukiingia kwenye notification kwenye Profile yako kisha ukagusa Notification moja wapo itasoma kilichokuwemo kama ni reply or whatever but ukifunvuwa tu View Thread inakuja white screen na inabaki hapo milele labda ukate na ku clear na ufunguwe app upya "yaani labda uondoe app kwenye history ya app ulizofunguwa, I mean Android side bar Navigation Pannel"



Mambo niliyoyapenda na ninayopendekeza kwa ujumla wake.
1. Nimepemda kuona Emojis, ni feature mpya kwenye reply uliyoweka ambayo itatuwezesha kuweka emojis kwenye reply zetu.

2. Napendekeza kuwe na kitufe cha kubadirika kwenye kitufe cha THREAD Ndani ya uzi, au bandiko (Thread unayosoma kuna kitufe cha THREAD ) Ambacho kazi yake ni kukuonyeaha kwamba unaweza kwenda next thread, so hapo napendekeza kuwepo na kitufe kingine ambacho unaweza kubadiriaha ili uweze kwenda next Comment section (hapa namaanisha ule mfumo wa zamani wa makundi ya cooments urudi lakini kibonyezeo kiwe na option mbili kama ukitaka kwenda next comment unabadiriaha kutoka THREAD kwenda COMMENTS, so kuanzia hapo unawezaubonyeza next or previous on specific COMMENTS Sections or THREADS.

3. Kwenye Profile napendekeza tuwe na rich Document like reals yaani tuwe na Muonekano wa Theads za mtumiaji na anaweza ku pin up specific thread kwenye profile yake na kuifanya hiyo thread kuwa ju zaidi, (hii itaongeza user experience kwa anaeitaji ku pin bandiko lake kwenye profile yake, pia inaongeza hadhi ya kutokuwa na option za following na kuifanya jamii Forum kuwa jukwaa la pamoja sio jukwaa la kutafuta followers, so hapa unaweza kubadirisha kutoka kuwa following mbaka kuwa Mwanajamii muaminifu, yaani ukimuqekea mtu kitufe cha MWANA JF basi Thread zake zinakuwa rwcommended kwa watu wengi zaidi or anakuwa trusted na sio wingi wa followers, (huu ni mtazamo tofauti kidogo na mitazamo ya wengi lakini inawezekana kuwa ni kitu bora zaidi kama tutatafakari kuhusu hilo).

Kwa uaminifu nitaendelea kuipekuwa taratibu na kupata dosali, na mapendekezo na kugaweka hapa.

asante kwa kutupa nafasi ya kuchangia mawazo yetu katika ukuwaji wa JAMII FORUM.
 
Wakuu,

Nachukua fursa hii kuwafahamisha kuhusu ujio wa App Mpya ya JamiiForums!

Hii sio update ya kawaida, bali tumeisuka upya kuanzia chini. Haya ni baadhi ya mambo mapya (features):

Brand-New Interface (Muonekano Mpya kabisa) - Tume-design app iwe cleaner, faster, na more readable. Tumezingatia suala la mobile-first experience. Kusoma nyuzi (threads) sasa hivi ni rahisi na haichoshi macho. Ukiitumia utaelewa naongelea nini.

View attachment 3647685
View attachment 3647686
View attachment 3647688

JamiiCheck Imerahisishwa - Tumeongeza sehemu maalum (dedicated place) kwa ajili ya mada zote zilizofanyiwa fact-checking. Sasa itakuwa rahisi sana kuziona taarifa zilizochakatwa JamiiCheck.

FichuaUovu Katika Feed Moja - Kwa wale wapigania haki, sasa unaweza kuwasilisha KERO, DOKEZO au HOJA na kufuatilia uwajibikaji wake. Aidha, imekuwa rahisi kuona submissions zote kutoka kwa wadau kwenye feed moja.

Switch Regions (Chagua Nchi Yako)

JamiiForums inakua, hivyo kila tutakapokuwa tunatoa huduma patahitaji kuhudumiwa bila kuingiliana! Sasa unaweza kuchagua nchi yako (Tanzania, Kenya, Rwanda, Uganda, n.k.) na kuona trending discussions zilizo karibu na wewe. Tunalenga kurahisisha mijadala ya eneo flani kujadiliwa kwa lugha wanayotaka bila kuingiliana.

Smoother Threads - Kwenye nyuzi ndefu (huge threads), sasa unaweza ku-jump kwenda kwenye post ya kwanza, ya mwisho, au pale ulipoishia kusoma (last-read post) kwa click moja tu. Pia, replies zitakuwa zina-load automatic kadri unavyo-scroll chini (infinite scroll). Mfumo wa replies umebadilishwa.

Composer Mpya (Eneo la Uandishi limeboreshwa) - Sehemu ya kuandika mada au comments imesukwa upya. Tumeleta rich text editor yenye BBCode inayoendana na App. Ku-format maandishi yako, ku-upload picha (images), na kuweka files sasa ni seamless kwa sasa.

App tayari ipo hewani. Fanyeni ku-update au ku-download, kisha mtupatie feedback. Maoni yenu ni muhimu sana ili tuendelee kuiboresha zaidi.

MSISITIZO: Feedback itasaidia kuondoa kasoro zitakazoianishwa na kuiboresha zaidi App ili iweze kurahisisha upatikanaji na matumizi ya JamiiForums.
Mkuu mbona app hii unaposoma haina 'home' kama ile ya zamani?

Sasa hivi ukibonyeza kile kialama cha mraba cha kushoto kinakuondoa moja kwa moja kwenye thread na kukufanya uanze upya kuingia!
Kialama cha pembetatu pia ukikibonyeza mara mbili nacho kinakuondoa moja kwa moja na kukufanya uanze upya kuingia!
 
Najua apps zote huwa zinauliza. Ila ni mbwembwe tu.

Wakitaka wanaingia mahali popote na kubeba data wanazozitaka.

We unadhani kwa nini Mmarekani kaipiga ban Tiktok nchini mwake?

Ni kwa sababu anajua Mchina anaweza access data muda wowote, hata kama mtu ameweka "NO PERMISSION ALLOWED"
View attachment 3649036

Vizuri umemrusha wengine watajifunza njia yako.

Ukifikiria nje ya boksi utanielewa yangu yakoje... 😆
 
Screenshot_20260813_170411_JamiiForums.jpg
nini hiki
 
Maoni ya kiufundi na maboresho


Hongera sana Kiongozi Maxence pamoja na timu yako nzima ya ufundi kwa juhudi na nia ya dhati ya kuiwezesha jamii kupata huduma bora za kidigitali.


Hata hivyo, kwenye update hii kuna changamoto kadhaa za kiufundi ambazo ni nyingi kiasi kwamba si rahisi kuzitaja zote hapa; ikiwemo video kutocheza vizuri, sehemu ya maoni kujikwangua na stacking ya picha/video, pamoja na changamoto za optimization.


Kwa maoni yangu, kwa sasa ingekuwa busara kurejesha ile PWA + TWA iliyokuwa imeondolewa, hasa kwa kuwa app haipatikani vizuri kwa sasa. Hii inaweza kusababisha baadhi ya watumiaji ku-uninstall.


Pia, nimeifanyia uchunguzi app mpya na inaonekana zaidi kuwa hybrid WebView wrapper kuliko Android native app. Hili linanipa wasiwasi kwenye matumizi ya data na performance. Android native inaweza kutoa scrolling laini zaidi, responsiveness nzuri, frame rate thabiti karibu 60 FPS, na matumizi bora ya resources, wakati hybrid inayotegemea web inaweza kuwa na overhead zaidi hasa kwenye scrolling, video na animations.


Mwisho, katika ujenzi wa mfumo mkubwa kama huu, testing na optimization kabla ya kuufikisha kwa watumiaji ni muhimu sana. Ni bora kuchukua muda zaidi kufanya QA, performance testing na bug fixing kuliko kuharakisha release na kuathiri uzoefu wa watumiaji.

kwa sasa ninge sisitiza irudishwe ile TWA kisha team ijipange upya kwa jinsi nilivyo ona hali ilivyo kama kutakuwa na marekebisho hayata kamilika kwa siku moja au mbili


Haya ni maoni ya kujenga kwa nia ya kuona mfumo unakuwa bora zaidi. Hongereni sana kwa kazi kubwa mnayoifanya. 🙏
 
Wakuu,

Nachukua fursa hii kuwafahamisha kuhusu ujio wa App Mpya ya JamiiForums!

Hii sio update ya kawaida, bali tumeisuka upya kuanzia chini. Haya ni baadhi ya mambo mapya (features):

Brand-New Interface (Muonekano Mpya kabisa) - Tume-design app iwe cleaner, faster, na more readable. Tumezingatia suala la mobile-first experience. Kusoma nyuzi (threads) sasa hivi ni rahisi na haichoshi macho. Ukiitumia utaelewa naongelea nini.

View attachment 3647685
View attachment 3647686
View attachment 3647688

JamiiCheck Imerahisishwa - Tumeongeza sehemu maalum (dedicated place) kwa ajili ya mada zote zilizofanyiwa fact-checking. Sasa itakuwa rahisi sana kuziona taarifa zilizochakatwa JamiiCheck.

FichuaUovu Katika Feed Moja - Kwa wale wapigania haki, sasa unaweza kuwasilisha KERO, DOKEZO au HOJA na kufuatilia uwajibikaji wake. Aidha, imekuwa rahisi kuona submissions zote kutoka kwa wadau kwenye feed moja.

Switch Regions (Chagua Nchi Yako)

JamiiForums inakua, hivyo kila tutakapokuwa tunatoa huduma patahitaji kuhudumiwa bila kuingiliana! Sasa unaweza kuchagua nchi yako (Tanzania, Kenya, Rwanda, Uganda, n.k.) na kuona trending discussions zilizo karibu na wewe. Tunalenga kurahisisha mijadala ya eneo flani kujadiliwa kwa lugha wanayotaka bila kuingiliana.

Smoother Threads - Kwenye nyuzi ndefu (huge threads), sasa unaweza ku-jump kwenda kwenye post ya kwanza, ya mwisho, au pale ulipoishia kusoma (last-read post) kwa click moja tu. Pia, replies zitakuwa zina-load automatic kadri unavyo-scroll chini (infinite scroll). Mfumo wa replies umebadilishwa.

Composer Mpya (Eneo la Uandishi limeboreshwa) - Sehemu ya kuandika mada au comments imesukwa upya. Tumeleta rich text editor yenye BBCode inayoendana na App. Ku-format maandishi yako, ku-upload picha (images), na kuweka files sasa ni seamless kwa sasa.

App tayari ipo hewani. Fanyeni ku-update au ku-download, kisha mtupatie feedback. Maoni yenu ni muhimu sana ili tuendelee kuiboresha zaidi.

MSISITIZO: Feedback itasaidia kuondoa kasoro zitakazoianishwa na kuiboresha zaidi App ili iweze kurahisisha upatikanaji na matumizi ya JamiiForums.

UPDATE: Aug 13, 2026
Tumezuia app kufanya kazi hadi issues zilizokuwa addressed ziwe fixed. Ndani ya siku 4 kasoro zilizoripotiwa zitakuwa zimefanyiwa kazi
Konokono mmempeleka wapi? Ekinyila mwakitahi?
 
Inagoma kulog in
 

Attachments

  • Screenshot_2026-08-14-15-17-58-22_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
    Screenshot_2026-08-14-15-17-58-22_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
    48.5 KB · Views: 3
Nilijua ni simu yangu tu,Kumbe kote ndani ya JF Nation
Imefanyiwa marekebisho.

Kwa wale wa Android, tayari kuna mabadiliko. Ni bahati mbaya Google hawajaonesha kama kuna update; hivyo tunashauri mtu kufuta App iliyokuwepo na kuiweka upya. Most reported bugs zimekuwa attended.

Asanteni kwa maoni yenu
 
Back
Top Bottom