spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,139
- 21,888
Mimi AKA yangu naitwa Australia bara kubwa Inch moyaKwani huna dushelele kubwa? Yaani unakibamia?!
Unapewa sifa nzuri na bibie hutaki. Haya!
Mimi AKA yangu naitwa Australia bara kubwa Inch moyaKwani huna dushelele kubwa? Yaani unakibamia?!
Unapewa sifa nzuri na bibie hutaki. Haya!
Blindly 😆Kwamba wanavibe sio 😅
Basi kazi ipo😅... But haya malalamiko ya watu yanawashusha hadhi, maana mtu unashindwa kuelewa ni kwamba hawakuitest kabla ya kuwaruhusu watu waitumie au waliitest wakiwa watu wawili watatu so now watu wanavyoongezeka inaanza kuonesha behavior tofauti?Blindly 😆
Ni ngumu kuwateteaBasi kazi ipo😅... But haya malalamiko ya watu yanawashusha hadhi, maana mtu unashindwa kuelewa ni kwamba hawakuitest kabla ya kuwaruhusu watu waitumie au waliitest wakiwa watu wawili watatu so now watu wanavyoongezeka inaanza kuonesha behavior tofauti?
But all in all kwa issue hiyo ya msg hata mkitest user wawili ikikaa sawa hakuna namna inaweza behave tofauti.
Najua tu Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah uliowaweka ignore list. Hii mijitu mibishi.App mpya ina bugs nyingi sana, members niliowaweka ignore list contents zao zinaonyeshwa, pia binafsi naona mtiririko jinsi comments zinavyoonekana inachosha kusoma. Sasa hivi natumia browser tu
His yoke is easy and his burden is lightHii app mpya notification zinakaa sehem gan mkuu
Unamaana gani mkuu?😆Mimi AKA yangu naitwa Australia bara kubwa Inch moya
Hahahaa, you are right jembe 👏🏾Najua tu Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah uliowaweka ignore list. Hii mijitu mibishi.
Duuh 😁😁Yaani ni watu wawili wanachat , ila meseji zimekuja kwangu wakati sijawahi kuchat na watu hao. Na sio convo moja karibia tano,
Technical huwa vinatokea, kosa kidogo tu kwenye design ya RBAC mambo kama hayo hujitokeza, nili develop app ambayo inatumika nilifanya kosa kidogo baahati nzuri nilikuwa nime lock kwenye back end, so haikuvuja vya kutoshaBasi JF watakua na developer wa bovu sana kama swala basic kama hili linatokea kwenye super brand company kama hii...
Hahaha tunamsema alivyo mchoyo🤣
Kuna siku niliona Pm za watu ila nilipojaribu kufungua zilikuwa zinakataaaaa
Nakuunga mkonoYaani ni watu wawili wanachat , ila meseji zimekuja kwangu wakati sijawahi kuchat na watu hao. Na sio convo moja karibia tano,
Kwa tabia zako mbaya hishindwi tuweka raha za watu hadharani weweHiyo bahati inidondokee na mimi jamani.!
Kwa hiyo na wewe ulitaka ufungue ujue yaliyomo? 😂Nakuunga mkono
Zinakuja ila ukifungua zinakataaaa
Kwako zilikubali?
Tena wana BahatiKwa hiyo na wewe ulitaka ufungue ujue yaliyomo? 😂
Acha tabia oza dogo.Tena wana Bahati
Nilikuwa nasoma tu kwa nje nikiscroll