App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

Technical huwa vinatokea, kosa kidogo tu kwenye design ya RBAC mambo kama hayo hujitokeza, nili develop app ambayo inatumika nilifanya kosa kidogo baahati nzuri nilikuwa nime lock kwenye back end, so haikuvuja vya kutosha
Company kubwa kama JF unawezaje kupeleka product mpya sokoni kabla hawajaitest vya kutosha?

Kwa wewe ambae unataka uwe na MVP ili uende sokoni haraka ni sawa ila wao hawana presha yoyote coz wako sokoni tayari na wala wateja wao hawajawahi lalamikia version iliyopo so walitakiwa wachukue muda wote walionao ili waitest vya kutosha na wajiridhishe kabla hawajafanya any updates.
 
Back
Top Bottom