Mallerina
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 3,040
- 7,426
Afu we jamaaa😆😆😆🤣🤣Acha tabia oza dogo.
Afu we jamaaa😆😆😆🤣🤣Acha tabia oza dogo.
Company kubwa kama JF unawezaje kupeleka product mpya sokoni kabla hawajaitest vya kutosha?Technical huwa vinatokea, kosa kidogo tu kwenye design ya RBAC mambo kama hayo hujitokeza, nili develop app ambayo inatumika nilifanya kosa kidogo baahati nzuri nilikuwa nime lock kwenye back end, so haikuvuja vya kutosha