NOTE: Kasoro zote zinazokuwa reported hapa, zitafanyiwa kazi Ijumaa na Jumamosi - so, msiache kutupa maoni.
Mnaonitumia PM - Asanteni sana
MABORESHO kwenye ios
1, Title ya thread isomeke yote, naona kama maandishi ya title yamekua makubwa sana na kufanya title ndefu isomeke sehemu tu ya mwanzo hivyo kulazimu lazima ufungue thread ili kusoma title yote
2. Notifications, ukifungua tu App hakuna notification unayoiona pale juu
Kimsingi wote tunajua umuhimu wa notifications pale tu unapoingia JF
Lakini pia sijaona settings za kupata notification kwa simu kutoa mlio au ku vibrate
3.Kitufe che DONATE JF kiwepo
4. Thread ziwekwe kwenye pages kama mwanzo.
Sasa hivi thread yenye pages 100k ku scroll hadi kufika page ya 100k kazi ngumu kidogo
Basi angalau kiwepo kitufye cha kupofya kikupeleke kwenye replies za mwisho kabisa chini ambazo ni currently
5. Uki post Thread au reply hakuna option ya kuedit, Quote wala Delete.
(Option ya ku switch kwenye browser iko ok inasaidia sana)
6. Ukitaka kumtag mtu ukianza na @…. Kisha herufu kadhaa haupati option ya majina inayo drop na kufanya Tagging kuwa impossible