hesbone
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 240
- 568
kunyanyua kwapa tu
kunyanyua kwapa tu
Hahaha we jamaaa sikuwezi kifupi umeshindikana naomba nione kikosi chako mkuuhaya anaejua alipe 28-0 elite divsion
Hahaha we jamaaa sikuwezi kifupi umeshindikana naomba nione kikosi chako mkuu
Kama hujachakachua coins hongera mkuu
man utd tupu
hapana nimecheat huoni idadi hio? na wachezaji wote ni max 100Kama hujachakachua coins hongera mkuu
Tishahaya anaejua alipe 28-0 elite divsion
Mkuu Mungu anakuona ujue, utafungiwa muulize matola na gold mining yakehaya anaejua alipe 28-0 elite divsion
Tupia screenshot tuoneMi nimemaliza kila kitu kuanzia uwanja nyasi idad ya watu mpaka wachezaji na jezi... now nina point 10000 cjui hata nazifanyia nin....
Vip hakuna sehemu zngine nizitie wadau ... au kuna game gani ingine classic ya android football ngumu ngumu kidgo
Mkuu inaniletea hivi nahofia nikidownload tena hizo additional si zitakuwa ndo ile ile ya mwanzo niliyoitoa? not crackedNjoo nimalize kukuelekeza leo lazima uchakachue coins, rudi pale nilipo kuelekeza mwanzo utaona nimefanya mabadiliko na picha nikaweka mkuu lengo ufurahie uchakachuaji wa coins
acha kupenda vya bureee,huko kuangaika saizi ungekua mbali sana.....Mkuu inaniletea hivi nahofia nikidownload tena hizo additional si zitakuwa ndo ile ile ya mwanzo niliyoitoa? not cracked
Kweli mkuu hapa najuta nimejikuta nimefuta ile ya mwanzo nilikuwa nipo mbali kishenziacha kupenda vya bureee,huko kuangaika saizi ungekua mbali sana.....
Kuna jamaaa nipo nae huku,alikua na ma coin ya kutosha hakua anachakachua alikua mbaliii knoma,kwa hili la 2017 DLS nahisi wameriboresha zaidi jamaa hadi saizi anabakii kulalamika tu bora asingechakachua ,wengi wanalalamika linazingua ukishachakachua.Kweli mkuu hapa najuta nimejikuta nimefuta ile ya mwanzo nilikuwa nipo mbali kishenzi
Dahh kweli vya bure gharama.Kuna jamaaa nipo nae huku,alikua na ma coin ya kutosha hakua anachakachua alikua mbaliii knoma,kwa hili la 2017 DLS nahisi wameriboresha zaidi jamaa hadi saizi anabakii kulalamika tu bora asingechakachua ,wengi wanalalamika linazingua ukishachakachua.
Njoo pm nikupe namba ya whatsap nikuelekeze taratibu kwa screen shots,usiambiwe utamu ukiwa na coins za kutosha ni mwendo wa kubadilisha tu wachezaji unao wataka nina coins laki moja kwa sasa na nimesha fika mbali sana,raha ya hili game ucheze kwa count attack uone wakina mess,ronald,sanchez wanavyofunga magoli matamuMkuu inaniletea hivi nahofia nikidownload tena hizo additional si zitakuwa ndo ile ile ya mwanzo niliyoitoa? not cracked
Njoo pm nikupe namba ya whatsap nikuelekeze taratibu kwa screen shots,usiambiwe utamu ukiwa na coins za kutosha ni mwendo wa kubadilisha tu wachezaji unao wataka nina coins laki moja kwa sasa na nimesha fika mbali sana,raha ya hili game ucheze kwa count attack uone wakina mess,ronald,sanchez wanavyofunga magoli matamu