Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

obb file eka foldrr la android then obb, hakikisha obb file folder like linaanzia na com
Screenshot_20180206-121830.png

Samahani chief, langu ni kama unavyoona hapo limeanza na com ila game haifunguki... Shida yaweza kuwa nini.
 
View attachment 691616
Samahani chief, langu ni kama unavyoona hapo limeanza na com ila game haifunguki... Shida yaweza kuwa nini.
kama alivyokwambia mdau hapo juu hujalifungua hilo file. nenda store search winrar kisha fungua winrar tafuta hilo file lako kisha extract mahala salama then utacopy folder zima na kupaste kwenye obb.
 
mbona mnahangaika sana wakat unaweza download kitu cha 32 kb kikakupa coin kama zote yaan
 
kama alivyokwambia mdau hapo juu hujalifungua hilo file. nenda store search winrar kisha fungua winrar tafuta hilo file lako kisha extract mahala salama then utacopy folder zima na kupaste kwenye obb.
PhotoGrid_1517922373164.jpg

Nimepata hizo... Ila jinsi ya ku extract ni tatizo... Msaada hapo wakuu.
hilo file ni zip inabid uliunzip mkuu na apk inaitwa zip archieve au winrar
 
View attachment 691703
Nimepata hizo... Ila jinsi ya ku extract ni tatizo... Msaada hapo wakuu.
mbona rahisi tu kiongozi!!! click hiyo zarchiver tafuta file ulilodownload hilo zip file kisha fanys extract.ukishindwa kabisa ingia kwenye file manager ya simu yako then tafuta hilo zipi fanya kama unataka kulifungua litakupa option. then utachugua open na hiyo zip archiever.kuna baadhi ya simu zenyewe hazihitaji hii program mfano baadhi ya samsung ukigusa tu hilo file litanza kuji extract .
dd2b5a0161d2e0b1044a91656e18f889.jpg
hapa hili ndio file zip lako

caf5c36e8c0fde4103389e2f718594c9.jpg
simu yangu sihitaji winrar yenyewe tu nikiclick inakuja hivo nikitendo cha kubonya okey tu

225406a4368c21dac9ac3c5f783b583d.jpg
hapa baada ya ku extract na kulimove kwenda android then obb naliacha kwa hapo
 
mbona rahisi tu kiongozi!!! click hiyo zarchiver tafuta file ulilodownload hilo zip file kisha fanys extract.ukishindwa kabisa ingia kwenye file manager ya simu yako then tafuta hilo zipi fanya kama unataka kulifungua litakupa option. then utachugua open na hiyo zip archiever.kuna baadhi ya simu zenyewe hazihitaji hii program mfano baadhi ya samsung ukigusa tu hilo file litanza kuji extract .
dd2b5a0161d2e0b1044a91656e18f889.jpg
hapa hili ndio file zip lako

caf5c36e8c0fde4103389e2f718594c9.jpg
simu yangu sihitaji winrar yenyewe tu nikiclick inakuja hivo nikitendo cha kubonya okey tu

225406a4368c21dac9ac3c5f783b583d.jpg
hapa baada ya ku extract na kulimove kwenda android then obb naliacha kwa hapo
Screenshot_20180207-011658.png
Screenshot_20180207-011706.png

Nimeamua ku unzip kwa kutumia PC, cjui nitakuwa sahihi???.

Screenshot_20180207-011527.png
Ila nikifungua haiendi zaidi ya hiyo safe mode... Alafu inakata kabisa na app yenyewe inajifunga... Sasa cjui ni cmu yangu au bado nimekosea mahali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom