Essihno
Member
- Jul 22, 2015
- 43
- 14
Mie imeniandikia ivo nmekosea wap mkuuKiaje mkuu???? Au inakuandikia games need additional data from playstore??????itakua umekosea mahala mkuu
Mie imeniandikia ivo nmekosea wap mkuuKiaje mkuu???? Au inakuandikia games need additional data from playstore??????itakua umekosea mahala mkuu
We unacheza screenshoot tafadhari tuone graphics zakeWakuu, kuna mtu anayecheza fifa 14 android humu?
Hapana sina kabisa hilo hame ila nalisaka,sasa nataka mwenye nalo anipe mwangaza kidogo.We unacheza screenshoot tafadhari tuone graphics zake
obb file eka foldrr la android then obb, hakikisha obb file folder like linaanzia na com
Njoo online nikutandike mkuu na kikosi cha kawaida ila ukija nakufunga nyingi tuNina kikosi matata,foward pale ninaweka mtu tatu mohamed salah,sadio mane,rahem sterling hawa vijana wana kasi ya ajabu,huwa wananifungia magoli hatari![]()

nishtue nipo onlineNjoo online nikutandike mkuu na kikosi cha kawaida ila ukija nakufunga nyingi tu![]()
![]()
![]()
![]()
Nioe jina la team yako mkuu....nishtue nipo online
hilo file ni zip inabid uliunzip mkuu na apk inaitwa zip archieve au winrarView attachment 691616
Samahani chief, langu ni kama unavyoona hapo limeanza na com ila game haifunguki... Shida yaweza kuwa nini.
me mgeni huko labda unielekeze unawekaje jina ndio kwanza nipo dv2Nioe jina la team yako mkuu....
kama alivyokwambia mdau hapo juu hujalifungua hilo file. nenda store search winrar kisha fungua winrar tafuta hilo file lako kisha extract mahala salama then utacopy folder zima na kupaste kwenye obb.View attachment 691616
Samahani chief, langu ni kama unavyoona hapo limeanza na com ila game haifunguki... Shida yaweza kuwa nini.
Chief na wewe unacheza haya makituView attachment 691616
Samahani chief, langu ni kama unavyoona hapo limeanza na com ila game haifunguki... Shida yaweza kuwa nini.
Addicted toka collage mkuu.. Ha ha haaaaChief na wewe unacheza haya makitu
Addicted toka collage mkuu.. Ha ha haaaa
...yaani mimi ndio huniambii kitu...nikiwa nimechoka nahitaji kufresh...akili..haya ndio mambo yangu...yaani mimi ndio huniambii kitu...nikiwa nimechoka nahitaji kufresh...akili..haya ndio mambo yangu
tuna share interest kadhaa mkuu. Hii nzurii.kama alivyokwambia mdau hapo juu hujalifungua hilo file. nenda store search winrar kisha fungua winrar tafuta hilo file lako kisha extract mahala salama then utacopy folder zima na kupaste kwenye obb.
hilo file ni zip inabid uliunzip mkuu na apk inaitwa zip archieve au winrar
mbona rahisi tu kiongozi!!! click hiyo zarchiver tafuta file ulilodownload hilo zip file kisha fanys extract.ukishindwa kabisa ingia kwenye file manager ya simu yako then tafuta hilo zipi fanya kama unataka kulifungua litakupa option. then utachugua open na hiyo zip archiever.kuna baadhi ya simu zenyewe hazihitaji hii program mfano baadhi ya samsung ukigusa tu hilo file litanza kuji extract .View attachment 691703
Nimepata hizo... Ila jinsi ya ku extract ni tatizo... Msaada hapo wakuu.
mbona rahisi tu kiongozi!!! click hiyo zarchiver tafuta file ulilodownload hilo zip file kisha fanys extract.ukishindwa kabisa ingia kwenye file manager ya simu yako then tafuta hilo zipi fanya kama unataka kulifungua litakupa option. then utachugua open na hiyo zip archiever.kuna baadhi ya simu zenyewe hazihitaji hii program mfano baadhi ya samsung ukigusa tu hilo file litanza kuji extract .
hapa hili ndio file zip lako![]()
simu yangu sihitaji winrar yenyewe tu nikiclick inakuja hivo nikitendo cha kubonya okey tu![]()
hapa baada ya ku extract na kulimove kwenda android then obb naliacha kwa hapo![]()
Hata mimi nili unzip kwa PC..then nikaliamishia kwenye simu....hapo bonyeza exit safe mode na game litaendeleaView attachment 691900View attachment 691901
Nimeamua ku unzip kwa kutumia PC, cjui nitakuwa sahihi???.
View attachment 691902 Ila nikifungua haiendi zaidi ya hiyo safe mode... Alafu inakata kabisa na app yenyewe inajifunga... Sasa cjui ni cmu yangu au bado nimekosea mahali