mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,336
- 6,426
duuuuh sio mbaya ila copy lile file la obb uliloli unzip na ulihamishe kwenye simu.sasa lipeleke kwenda android~obb lipaste humoView attachment 691900View attachment 691901
Nimeamua ku unzip kwa kutumia PC, cjui nitakuwa sahihi???.
View attachment 691902 Ila nikifungua haiendi zaidi ya hiyo safe mode... Alafu inakata kabisa na app yenyewe inajifunga... Sasa cjui ni cmu yangu au bado nimekosea mahali


