Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

Screenshot_2018-01-19-12-47-34.png

nmedownlod pes inaniletea hvyo
 
Nina kikosi matata,foward pale ninaweka mtu tatu mohamed salah,sadio mane,rahem sterling hawa vijana wana kasi ya ajabu,huwa wananifungia magoli hatari
1abc4547ba2a0836a63345089497c264.jpg
 
Nilijua online[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha hutakiwi kumcheka mkuu...mi natatizo moja fts langu mkuuu naona nilazaman sana asee maaana wachezaj niwazaman kwenye timu zao nifanyeje kuapdate nipate ya 18 yangu rooney bado yupo man u
 
Kingne mbona nashindwa kucheza tonaments zingne zaidi ya ligi tuuu
 
Back
Top Bottom