JOAQUEM
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 2,020
- 1,673
Furaha yangu nikufunga mtu goli kumi tisa...Sema unabutua sana piga pasi 80% uone utamu wa game
Haya nimejaribu mpira wa possesion...nimeambulia goli moja...
Mateam yanakaba hayoooo...
Furaha yangu nikufunga mtu goli kumi tisa...Sema unabutua sana piga pasi 80% uone utamu wa game
Naishughulikia bosi.Tunahitajo link ya hili lako mkuu Khalifavinnie
Man of the match mkubwa felaFuraha yangu nikufunga mtu goli kumi tisa...
Haya nimejaribu mpira wa possesion...nimeambulia goli moja...![]()
![]()
![]()
Mateam yanakaba hayoooo...
View attachment 677562
Naishughulikia bosi.
Wapi apk sasa???
Ukiview na zarchiver itatokea apk data obbWapi apk sasa???
Ni 19 kweli????Ukiview na zarchiver itatokea apk data obb
Sema kuna baadhi ya transfer na button changesNi 19 kweli????
Humu mfnano uleule boss? Maana inanikosesha radhaSema kuna baadhi ya transfer na button changes
Sawa ngoja niliibukie..Sema kuna baadhi ya transfer na button changes
KhalifavinnieAu fanya hivi nenda kwenye ucbrowser kama uli download kupitia browser hii mpka ile sehemu ambayo unaikuta downloaded hapo kwenye menu ya uc alafu tafuta hilo file hapo kama hauku clear ukishalikuta utali hold hilo file kama unataka lifuta hivi zitakuja option ya kufuta ku re download na detail sasa wewe chagua detail alafu ukishaingia hapo utakuta maeezo yake yote mpaka source ya hiyo file sasa wewe copy hapo kuna hiyo option uje utu pastie hapa mkuu.
Note;hii haijarishi kama file ulishalifuta kwenye simu kabisa ama bdo labda kama ulifanya clearing katika browser upande wa downloaded file hapo ndo itakuwa kisanga.
Ww wanakushinda???Mmmh ukiweka high alafu ucheze uefa or world cup sio poa yan
Nawafunga sema ngoma inakua taff!!!Ww wanakushinda???
Mkuu em nipe malekezo nkashadownload.Ukiview na zarchiver itatokea apk data obb
Ni simple tu mkuuMkuu em nipe malekezo nkashadownload.
Hapo kwenye kukop na kupaste kutoka file moja hadi lingine inakuaje
Zarchiver ninayo
mkuu kila nkitaka kupakua hilo game fts 18 linagoma nitumie app ipi kupakua maana natumia operaminNi simple tu mkuu
Tumia browser ya simumkuu kila nkitaka kupakua hilo game fts 18 linagoma nitumie app ipi kupakua maana natumia operamin