Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 3,122
- 4,358
Sasa kama unafahamu haya magemu kwanini uliuliza?Sema hivi ya mwisho kuwekwa playstore ni hiyo....
Sasa kama unafahamu haya magemu kwanini uliuliza?Sema hivi ya mwisho kuwekwa playstore ni hiyo....
Sijakuuliza kwa maana unayofikiria mkuu...nilikuuliza kama ni FTS 18...Sasa kama unafahamu haya magemu kwanini uliuliza?
CompareSasa kama unafahamu haya magemu kwanini uliuliza?
Ka gemu hizo mkuu??!FTS 2015 hawawez toa game tena kwa kuwa,wataua soko mpka za games nyingine kubwa,za mpira wana staili ya kipekee ya muundo wa game zao zinaweza kuwa updated hata kwa miaka20-15 bila toleo lingine ndomana wamezuiwa kutoa fts nyingine.
Mod za fts aziwezi flop zitazid kutoka na kutoka usije shangaa zikafikia mithili ya pes2 au3.Ka gemu hizo mkuu??!
Nitapataje hili?DREAM LEAGUE & REAL FOOTBALL..hawatofautiani sana hawa watazid toa matoleo mapya kila misimu,pes touch alimanusura waendelee walikomea pes 2012,hii ni baada ya psps simulator kudukua pes real na kuirahisisha katka simu huu ndo ulikua ukomo wa pes....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nitapataje hili?
Mkuu kati ya DLS na FTS lipi ni liko vizuri kushinda mwenzieMlikua mnalingana kila kitu mkuu""""Dls nimeona likizo kidogo nkipata muda na Fts 18 kidogo
Mbona kwenye site yako kuna fts 17 na pes 18 ni direct link ya fts 18 na sio hili pes 18
tatz la fts 2018 unamkuta iniesta,de gea,neur,cech na wengn wanasura ya ramos
naona hakuna namna zaidi ya kukubali matokeoHaha kwanini sasa mkuu? Je solution ni ipi hapo ili isitokee hivo
Je la 17 nalo ni hivo?naona hakuna namna zaidi ya kukubali matokeo
Hii link yake tafadhali
Ebu chek hii ya kwangu
View attachment 675138
Hili gemu halina hata commentary.... Japo ni zuri ila sijalipenda....Nitapataje hili?
Hebu kajaribu kucheza quick match halafu piga screenshot unonyeshe. .Ebu chek hii ya kwangu
View attachment 675138