Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Kuna link moja hapo juujuu icheki hiyo......Naomben maujanja namna ya kulipata
Kuna link moja hapo juujuu icheki hiyo......Naomben maujanja namna ya kulipata
Mimi nipo PSG kila kitu naongoza kasoro kushinda tu![]()




hii game ni motoMadrid huku nataka nyanyua kwapa ila barca anatishia amaniMadrid ukiweka hard ni magumu,yanapiga kaunta halafu yanapiga sana heda babaqe!!!!




Hiyo level ni hard ama????Madrid huku nataka nyanyua kwapa ila barca anatishia amani![]()
Halafu mkuu coins za fts zinatumika kwenye nn??Madrid huku nataka nyanyua kwapa ila barca anatishia amani![]()
Ni hard mkuuHiyo level ni hard ama????
Kununua wachezaji unapocheza option ya manager mode unapoenda kufunza timu flani yaweza kuwa Sunderland pindi transfer window ikiwa open unasajili player pamoja na kurenew mikataba ya wachezaji mkuuHalafu mkuu coins za fts zinatumika kwenye nn??
Mkuu kila nikidownload linaniandikia invalid link shida nnNi hard mkuu
Mkuu nimefungua link naona download kma ziko nyingi sielew niclick ipi mojawapo manake zingine zinanipeleka sehem tofautHalafu mkuu coins za fts zinatumika kwenye nn??
Tumia uc browserMkuu kila nikidownload linaniandikia invalid link shida nn
Shuka chini kabisa baada ya yale mapicha ya gemu.....angalia kwa makini utakuta link mbili zinafuatana....moja ya zip(mb 260+) na nyingine ya apk(mb 67) download zote hizo mbili( usitumie opera)Mkuu nimefungua link naona download kma ziko nyingi sielew niclick ipi mojawapo manake zingine zinanipeleka sehem tofaut
Hili game tam kuliko DLS 2018Madrid huku nataka nyanyua kwapa ila barca anatishia amani![]()
Kujenga viwanja piaHalafu mkuu coins za fts zinatumika kwenye nn??
Niliwahi kuchukua ubingwa kene game ya mwisho ndo iliamuahii game ni moto
Umesema nisitumie opera nitumie nini ambayo itasaidia kufanikisha hii ishuShuka chini kabisa baada ya yale mapicha ya gemu.....angalia kwa makini utakuta link mbili zinafuatana....moja ya zip(mb 260+) na nyingine ya apk(mb 67) download zote hizo mbili( usitumie opera)
Mlikua mnalingana kila kitu mkuu""""Dls nimeona likizo kidogo nkipata muda na Fts 18 kidogoNiliwahi kuchukua ubingwa kene game ya mwisho ndo iliamua
Tumia browser ya simu mkuuUmesema nisitumie opera nitumie nini ambayo itasaidia kufanikisha hii ishu




hataki Rmadrid ninyanyue kwapa