Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 993
Commentary una maanisha ni watangazaji au mbona wapo jama john champion tena na wengine au labda isiwe na maana hiyoHili gemu halina hata commentary.... Japo ni zuri ila sijalipenda....
Commentary una maanisha ni watangazaji au mbona wapo jama john champion tena na wengine au labda isiwe na maana hiyoHili gemu halina hata commentary.... Japo ni zuri ila sijalipenda....
Mi nasikia tu kelele za mishabiki maandazi......Commentary una maanisha ni watangazaji au mbona wapo jama john champion tena na wengine au labda isiwe na maana hiyo
Lipi hilo mkuuMi nasikia tu kelele za mashabiki...
Hilo pes 2012...au labda ninalo tofauti....Lipi hilo mkuu
Hahah wahuni wengi humo mkuu mala miluzi,mala cha uruguay hahaMi nasikia tu kelele za mishabiki maandazi......
Eeeeh kwan lako unasikia commentary????Hahah wahuni wengi humo mkuu mala miluzi,mala cha uruguay haha
Eeeeh kwan lako unasikia commentary????
Ulilipatia wapi lako????Haha mbona langu naskia fresh tu mkuu
Tafuta real mod kama yangu hamna sura za ubabaishaji ngoja nitafute link ya wfe nitawatumia mpate mambo mazuri.tatz la fts 2018 unamkuta iniesta,de gea,neur,cech na wengn wanasura ya ramos
Sura ni real????hemu piga screen shot tuone sura zao mkuuTafuta real mod kama yangu hamna sura za ubabaishaji ngoja nitafute link ya wfe nitawatumia mpate mambo mazuri.
Hiii ni 2012 pes je mood n 2018???????Roberto?Unapata full gemu kabisa ama kuna vi2 vingine vya kuadd.....
Sijakuelewa mtu wa green...unasema???Hiii ni 2012 pes je mood n 2018???????Roberto?
Fts wana two way ya coins ambayo hiz huwa ni kwa ajili ya health player endapo anakuwa kachoka unatumia coins kumpa nguvu na pia coins hutumika kukamiki kitu kama ujenzi wa kiwanja na ku register new team manage...pesa unazipata kutokana na hatua zako katka league na utwaaji makombe.hizo coins baade zinageuka kuw pesa??
Pes 2012 nalikubali sana nilicheza zamani kidogoKwa muono wako hii pes 2012 na hiyo fts 2018 ipi kali kila idara maana mimi nimezoea kucheza hii ya pes 2012