Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

Una hack bila shida mkuu... Lakini sio kwa Luckyputcher.

Mimi pia yangu ni ya 2018
59c5b4f7619e20de7a887c3c8438fb61.jpg


Lakini nimeihack bila shida... Coins kibao Tena hapo nimezipunguza Sana kwenye kununua wachezaji na customization kibao.
60e851e72ef309688840f7159197be01.jpg


8327e3168d2bc569d0b375e93d049287.jpg


9e04333f61a5e5e55c07b340ea1ccba5.jpg
mkuu nipe maelekezo please mie ni huck ila siwezi kuzitumia wananiambia sina pesa ya kununua mchezaji wakati mapesa ninayo kibao
 

Attachments

  • Screenshot_20171223-101912.png
    Screenshot_20171223-101912.png
    264.5 KB · Views: 103
Yeah... Sasa ingia kwenye download.Licopy and paste kwenye data.
Mkuu nimeshadelete first touch profile data ila nikiigoogle profile data for dream league 2018 Google wananiletea download game file na download apk sasa sijui which is which mkuu....
 
Hiyo dream league babu
Hakuna ligi kila timu ina daraja lake unaanza
Academy division
Division 3
Division 2
Division 1
Junior elite division
Elite division
Kila daraja lina timu zake
Timu konkodi za soka zipo elite division asenali,Madrid,man u,barca,juve nk.
Ukishinda hadi level ya elite division ukamaliza top unaenda international level unakutana na national teams ka world cup hivi
Ukishinda unakutana na timu za continental allstars kama timu ya Africa,eastern Europe,western Europe,north America, south America etc
Ukishinda hapo unaenda kukutana na team yenyewe inaitwa First Touch Legendary Team hujui mchezaji hata mmoja ila ni hatari yana nguvu 96,95,97 etc li kipa lake ligumu kufungika
Ukishinda hapo timu yako ndo best team bac unakutana na timu yako mwenyewe
Yaani wachezaji wako walewale kila kitu kilekile labda wanachenji formation; hapa ndo utaelewa
Ukimaliza hapo bac unaanza elite division na unaendelea kama mwanzo
Ila huwezi kufika huko ka hauna pesa ; mm nilihack nikapata pesa za kutosha nikanunua uwanja mkubwa bila uwanja mzur hupandi daraja
Nikanunua best players kama messi,ronaldo nk
It is very fantastic game
Ila bila best players unajisumbua 2
Ulihack vipi game?
 
Yeah... Sasa ingia kwenye download.Licopy and paste kwenye data.
Nashangaa simu yangu haicopy kutokea kwenye downloads kama pic inavyoonesha hapo. Nimejaribu kila njia mpaka kuliedit kwenye WPS Office alafu nikalisave kwenye firsttouch games as profile data lakini wapi. Ngoja kichwa kitulie kwanza
Screenshot_2017-12-23-13-30-19.png
 
Mkuu nimeshadelete first touch profile data ila nikiigoogle profile data for dream league 2018 Google wananiletea download game file na download apk sasa sijui which is which mkuu....
Usifute profile data. androiddatadlsprofile.dat(futa hiki). Baada ya kufuta profile.dat nenda google download profile.dat ukishamaliza maana yake kitakua kwenye file la download so utacopy then kapaste kwenye file la dls data kwisha habari
 
Usifute profile data. androiddatadlsprofile.dat(futa hiki). Baada ya kufuta profile.dat nenda google download profile.dat ukishamaliza maana yake kitakua kwenye file la download so utacopy then kapaste kwenye file la dls data kwisha habari
Hayo yote nimeshafanya mkuu, tatizo hakuna option ya kuicopy kutokea kwenye downloads list na kuipaste kwenye file la first touch games ambalo ni la DSL
 
Wakuu nimeona kuna pes 2018 real face imetoka ina mb 800 ofline kama kuna mtu ambaye ana uelewa juu ya hili game namna ya kulidownload na ku-install
Ingia google, search pirate bay.... Fungua link ya kwanza kabisa kisha search hiyo game na utaweza kuidownload kama ipo... NB:ni lazima uwe na UTORRENT AU BITTORRENT na zote zipo playstore pia.
 
Hayo yote nimeshafanya mkuu, tatizo hakuna option ya kuicopy kutokea kwenye downloads list na kuipaste kwenye file la first touch games ambalo ni la DSL
Mbona inaonekana kama hujaimark ilioption ya kucopy itokee
 
Mkuu ingia kwenye file manager
Naona sijaeleweka. Hapa ni issue ya simu yangu kushindwa kucopy na kupaste kwenye download list kwmba kitu na kidownload fresh ila option ya copy haijitokezi hata nikihilight zaidi ya delete n share.
Sijakata tamaa coz najua there must be a way to make it work. Napumzisha akili kwa hii mechi ya barca na real madrid kwanza lol.
 
Naona sijaeleweka. Hapa ni issue ya simu yangu kushindwa kucopy na kupaste kwenye download list kwmba kitu na kidownload fresh ila option ya copy haijitokezi hata nikihilight zaidi ya delete n share.
Sijakata tamaa coz najua there must be a way to make it work. Napumzisha akili kwa hii mechi ya barca na real madrid kwanza lol.
Mkuu.

Simu yako ina shida gani?
 
mkuu nipe maelekezo please mie ni huck ila siwezi kuzitumia wananiambia sina pesa ya kununua mchezaji wakati mapesa ninayo kibao
Coins wamekuwekea negative hapo... Ikimaanisha una Deni.

Hiyo Hack Tool uliyoitumia mwanzo sio nzuri.

Fata njia niliyomweleza jamaa hapo juu.
 
Yeah unaweza...

Utaanza upya kuanzia ku select captain.Lakini hela unakua nayo zaidi ya hiyo uliyoikuta kwa jamaa.
Mbona campten ninae mwingne au unamaanisha ni resete record ila inaniambia nitarudishwa mwanzo na nitalooz coins inakuaje hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom