Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,297
Umetoka nje huo...inaniuma zaid katoa asisst ya goli afu UEFA nimetokaYuko sahihi mkuu hapo mpira haijatoka kabisa



Umetoka nje huo...inaniuma zaid katoa asisst ya goli afu UEFA nimetokaYuko sahihi mkuu hapo mpira haijatoka kabisa



Hahaaahahh kama nakuona vile ulivyopiga ngumi ukutani ili game zuri sanaUmetoka nje huo...inaniuma zaid katoa asisst ya goli afu UEFA nimetoka![]()




Yan ww acha tu, nilitaman kivunja simu nimtoe refa....Hahaaahahh kama nakuona vile ulivyopiga ngumi ukutani ili game zuri sana
![]()
Mkuu ni FTS hiyo auYan ww acha tu, nilitaman kivunja simu nimtoe refa....
Ndio ya 2018,unaitakaMkuu ni FTS hiyo au
Bora Hata dream leagueMarefa bana... Had kene dream league wanapeta![]()
Kweli asee huko ukatunist mwingiBora Hata dream league
Haaaa haaaaDls 2018 ina vijimambo sana nilimuanzisha lukaku alafu nikawa namkosesha magoli game ya 10 akapiga hat trick mashabiki wakazila no shangwe
![]()
Unatumia simu ya aina gani mkuu"""gemu lipi lililokataa?Wakuu mi phone yangu nikihack au nikidownload game lililohackiwa nikilifungua linakata simu inarudi kwenye menu
Tatizo ni nn nisaidieni Tafadhali
Natumia huawei lua u22Unatumia simu ya aina gani mkuu"""gemu lipi lililokataa?
Download ambalo halijaakiwa mkuu then kuna hatua chache utakazofuata na gemu utaplay poaNatumia huawei lua u22
Magemu ka DLS hata FTS 18 yaliyohakiwa yanagoma
Tayari mkuu nshadownloadDownload ambalo halijaakiwa mkuu then kuna hatua chache utakazofuata na gemu utaplay poa
S unataka unlimited coinsTayari mkuu nshadownload
Nipe next step
Hahaha mimi kuna vitu vinanishekesha sana dls ukicheza offline..timu pinzani ikifanya sub utashangaa yaan anaweza tolewa morata alafu akaingia cahil au rudiger alafu anaenda kucheza cf




anasaidia kukaba mkuu