Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,393
- 6,562
Uninstall then install upya mkuuMkuu unatumia Tecno werevaaa![]()
Uninstall then install upya mkuuMkuu unatumia Tecno werevaaa![]()
Baraka ni mkolomije Hajui simu huyo amekariri simu ni sumsang....Mm natumia tecno pia na naicheza fresh tu acha wenge kaka,na vifikra vya tope
Nina wacheza nimetoka nao mbali sana chief sitaki nianze upya maana hili dls18 nilifanya ku update tu.....any other sugestions chief.Uninstall then install upya mkuu
Kwani nawewe umehack coins mkuuNina wacheza nimetoka nao mbali sana chief sitaki nianze upya maana hili dls18 nilifanya ku update tu.....any other sugestions chief.
Sija hack coin na nachukia ku hack coins mimi ndiyo nilimfundisha mkolomije baraka ku hack coins ....ila sitaki ni hack tena napoteza ladha ya ushindani,sasa hili nililo updates nimetoka nalo dls17 so sahivi nataka nisirudi tena huko nianze moja ,maana mpaka sahivi nina wachezaji kama kent ,wilson na nimeshalicheza game mpaka basi nimemaliza stagea zote na nimefanya round zaid ya mara 20 so kuna wachezaji wangu nimenunua natka hao hao no getting backKwani nawewe umehack coins mkuu
Hata mimi sihack mkuu nakomaa na wachezaji wa mchanganii nshafika div 1Sija hack coin na nachukia ku hack coins mimi ndiyo nilimfundisha mkolomije baraka ku hack coins ....ila sitaki ni hack tena napoteza ladha ya ushindani,sasa hili nililo updates nimetoka nalo dls17 so sahivi nataka nisirudi tena huko nianze moja ,maana mpaka sahivi nina wachezaji kama kent ,wilson na nimeshalicheza game mpaka basi nimemaliza stagea zote na nimefanya round zaid ya mara 20 so kuna wachezaji wangu nimenunua natka hao hao no getting back


Hacking coins is cheating period.......i want to be smart score more goals without cheating. Tumuachie baraka mkolomijeHata mimi sihack mkuu nakomaa na wachezaji wa mchanganii nshafika div 1![]()
Linamo lete shida yako nikusaidie wapi unakwama madameNdio. Labda nipate link ya ku update kutoka 2017-2018 may be itafanikiwa
Ilo fwe 2018 ni moto balaaa.Hili ni lipi?
Si mbaya lknTupo DLS18 mkuu![]()
Upo tier ngap mkuuSi mbaya lkn
Mkuu nilidownload dls2017 online nika update playstore baada ya ku update kwenye screen hadi logo imebadilika lakini halifungukiLinamo lete shida yako nikusaidie wapi unakwama madame
Naomba nisaidie mkuu namm nahitajiIpo njia rahisi sana huitaji kutumia hata MB ukiwa tayari sema nikupe
Hebu jaribu kupunguza vitu kwenye storage yako ya simu, huwa inakua hivi kama simu imejaa vitu basi game linashindwa ku run so litakataa kufunguka,tafuta master cleaner ipo playstore ukisha download then clear junkies hapo sasa utaniambia simu itakua nyepesi interm of performance na game lako litafunguka just do that and lem knowMkuu nilidownload dls2017 online nika update playstore baada ya ku update kwenye screen hadi logo imebadilika lakini halifunguki