nahitaji kuona muonekano wa hiyo game ikiwa uwanjan kwa picha![]()
Kama inavyoonekanaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
naomba picha ili nilione game kwa uwanjan linavyoonekana![]()
The Strongest team
Simba Sport Club![]()
![]()
![]()
![]()
ila kote kote siinapatikana na ninaweza kuplay endapo simu ikiwa rooted ama ikiwa haijaroot naomba unifafanulie mkuuukiroot unacheat tu na app kama gameguardian ila kama hujaroot inabidi udownload upya au udownload saved file ya mwenzako
mkuu unacoin nyng sana,,, umepata kwa kuhack au kuplay game![]()
The Strongest team
Simba Sport Club![]()
![]()
![]()
![]()
mkuu unacoin nyng sana,,, umepata kwa kuhack au kuplay game![]()
The Strongest team
Simba Sport Club![]()
![]()
![]()
![]()
Haya ni macoins ya kuhack...mkuu unacoin nyng sana,,, umepata kwa kuhack au kuplay game
Ukifika tier 1 nitafute...mie ndio nahangaika nalo hukoOnline kuna vitukooooo
Huyu jamaa baada ya kumpiga magoli tano saaaafi kabisa
Alichokifanya akaanza kujifungaa makusudi mpaka ikawa
12-1
![]()
Sent from my IPhone 8+ using Jamii Forums mobile app
Msaada link ambayo naweza kupata pes 2017 patch v 6
Kuna gruuup la wasap nipo mkuu kuna vijana humo ni hatari wanajua jinsi yakuelekeza na mpka ukafanikiwa upande wangu mkuu siwezi maana sio mtaaalamu sana labda kama unahitaj nikupe namba za admin mkuuMkuu ebu msaada kidogo jinsi ya kupata hizo game za psp mimi nimeinstall software ya psp ila kushusha magame yake ndo tatizo
mkuu tafzal,naomba huo ujanjaHaya ni macoins ya kuhack...

Ipo njia rahisi sana huitaji kutumia hata MB ukiwa tayari sema nikupe![]()
Nakosea wapi wajameni mbona kila nikijaribu naishia hapa