Frega Bao
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 554
- 362
Mkuu huwa unanifurahisha sana na uchakachuaji wa coinsHapo kilichobaki ni kuchet coins tu![]()
Utasotaaa division 3 mpaka ulichukie hili game pendwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Mkuu huwa unanifurahisha sana na uchakachuaji wa coinsHapo kilichobaki ni kuchet coins tu![]()
Utasotaaa division 3 mpaka ulichukie hili game pendwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Mkuu tukutane online ukiona timu inaitwa WAZEE WA KAZI basi accept the challenge![]()
![]()
Sasa hivi nacheza Dream League Online ndio inachangamoto zaidi.![]()
Usijenge uwanja mpaka mwisho wa league, na mwisho wa league watakupa option ya to upgrade uwanja na pale chagua auto upgrade..Kinachokera unapewa option ya kujenga uwanja coins labda 1320 mechi mbili kabla ya div3 league kuisha unajenga ukimaliza ligi wanataka tena ujenge uwanja hapo ushaliwa coins tayari na ukipostpone kujenga unahatarisha nafasi za kujenga baadae.
Naombeni ushauri nimesota hapo div3
Mkuu huwa unanifurahisha sana na uchakachuaji wa coins
Uko vizuri mkuu, naona ulishindwa kuvumilia ukaona ujiunge na team kuchakachua coins![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mzee wa kuchakachua
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Yah keep it realI gotta keep it real on DLS
Great!Nimelifuta game nililo chakachua nimeanza upyaaa bila hacked coins, real man do not cheat on tough game lets do it, lets face new challenges from amateur level
Hongera mkuu,hivi ukitaka kuanza na upya ni unabofya pale kwenye restart au unafanya ku uninstall na ku install upya kabisaNimelifuta game nililo chakachua nimeanza upyaaa bila hacked coins, real man do not cheat on tough game lets do it, lets face new challenges from amateur level
Ahsante mkuu, mimi nili unstall ili nifute lile la kuchakachua coins, nilichakachua coins mara ya kwanza nilikua na coins million, sasa nimeanza upyaa nilimiss kupata challenges... Maana la kuchakachua nilikua nafunga goal 12 nakuendelea kila match sijawahi shuka zaidi ya hapo..... Karibu amateur FregaHongera mkuu,hivi ukitaka kuanza na upya ni unabofya pale kwenye restart au unafanya ku uninstall na ku install upya kabisa
Pamoja mkuu toxic9,kuna video nimeiona pale you tube kumbe ukirestart unaanza na moja kabisa unapoteza wachezaji hadi uwanja na rekodi zote. Ninaipenda amateur lakini kwasasa nakazana kupata coins ili nifanye player development kuna achievements bado sijazifikia na ninapenda kuzipata zote ndipo nitarestartAhsante mkuu, mimi nili unstall ili nifute lile la kuchakachua coins, nilichakachua coins mara ya kwanza nilikua na coins million, sasa nimeanza upyaa nilimiss kupata challenges... Maana la kuchakachua nilikua nafunga goal 12 nakuendelea kila match sijawahi shuka zaidi ya hapo..... Karibu amateur Frega
Pamoja mkuu toxic9,kuna video nimeiona pale you tube kumbe ukirestart unaanza na moja kabisa unapoteza wachezaji hadi uwanja na rekodi zote. Ninaipenda amateur lakini kwasasa nakazana kupata coins ili nifanye player development kuna achievements bado sijazifikia na ninapenda kuzipata zote ndipo nitarestart

nakungojea huku amature ni mwendo mdogo mdogo, ni raha sana, sijawahi kuwa bored na hili game frega, muulize issac amefikia wapi maana kachakachua game basi anatusumbua na mess wake![]()
![]()
nakungojea huku amature ni mwendo mdogo mdogo, ni raha sana, sijawahi kuwa bored na hili game frega, muulize issac amefikia wapi maana kachakachua game basi anatusumbua na mess wake
Issac bwana alikuwa mwenzangu kabisa post zake alikuwa anapinga uchakachuaji mara ghafla he!si amekuwa kinara wa uchakachuaji

![]()
![]()
Issac bwana alikuwa mwenzangu kabisa post zake alikuwa anapinga uchakachuaji mara ghafla he!si amekuwa kinara wa uchakachuaji
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()





![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Uchakachuaji haujawahi muacha MTU salamaaa
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
rudi nyumbani "team no kuchakachua/no uchakachuaji"Cheza online, upinzani upo wa kutoshaJamani mwenye kujua game ngumu zaidi anijuze maana DLS sina upinzani
Naona online wanakuchakaza!Mkuu tukutane online ukiona timu inaitwa WAZEE WA KAZI basi accept the challenge