Marashaaa95
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 848
- 724
Nalo nimecheza mpaka nimechokaMbona mnacheza game rahisi rahisi namna hiyo?
Chezeni first touch muone moto wake. Yani lile ni funga ni kufunge dadek
FTS ni la kitoto tu

Nalo nimecheza mpaka nimechokaMbona mnacheza game rahisi rahisi namna hiyo?
Chezeni first touch muone moto wake. Yani lile ni funga ni kufunge dadek

chief samahani nimedownload apk ya game ikaomba na OBB nayo nikaidownload lakini imenishinda ku install hiyo OBB na hata kwenye simu siioni. msaada wako pls.
apk, obb na data vipo folder moja kwenye hilo game, kama hujui kueka obb angalia youtube kuna tutorial rahisi rahisi.chief samahani nimedownload apk ya game ikaomba na OBB nayo nikaidownload lakini imenishinda ku install hiyo OBB na hata kwenye simu siioni. msaada wako pls.
Hapo kilichobaki ni kuchet coins tuKinachokera unapewa option ya kujenga uwanja coins labda 1320 mechi mbili kabla ya div3 league kuisha unajenga ukimaliza ligi wanataka tena ujenge uwanja hapo ushaliwa coins tayari na ukipostpone kujenga unahatarisha nafasi za kujenga baadae.
Naombeni ushauri nimesota hapo div3
Usijenge uwanja mpaka wakupe notification mfano div two kwenda one wanataka uwanja uwe na uwezo wa kubeba watu 45000 so wakisema upgrade wewe maliza kazi mimi sijachet coins na naenda fresh now najenga kosi la mauaji .....Kinachokera unapewa option ya kujenga uwanja coins labda 1320 mechi mbili kabla ya div3 league kuisha unajenga ukimaliza ligi wanataka tena ujenge uwanja hapo ushaliwa coins tayari na ukipostpone kujenga unahatarisha nafasi za kujenga baadae.
Naombeni ushauri nimesota hapo div3
Kwahiyo niendelee kucheza mpaka mwisho wa msimu ili upgrade ikija niwe ndani sitaki kucheat nataka nikuze uwezo wanguUsijenge uwanja mpaka wakupe notification mfano div two kwenda one wanataka uwanja uwe na uwezo wa kubeba watu 45000 so wakisema upgrade wewe maliza kazi mimi sijachet coins na naenda fresh now najenga kosi la mauaji .....
Power him who power exerts
Kisu cha ngariba how did you manage to earn that amount of coins? Au ndo ushacheza mechi 200Acha uvivu cheza game upate coins kihalali.![]()
academy?
Yap!!Kwahiyo niendelee kucheza mpaka mwisho wa msimu ili upgrade ikija niwe ndani sitaki kucheat nataka nikuze uwezo wangu
Nipe basii maujanja hayooHapo kilichobaki ni kuchet coins tu![]()
Utasotaaa division 3 mpaka ulichukie hili game pendwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Fuatilia thread za nyuma wameelekeza vizuri sana mkuuNipe basii maujanja hayoo
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Naomba niku encourage wewe kazana tu utafika unapopataka ukicheat spirit ya kupambana inakuwa low sana,mimi sijawahi kucheat lakini nimefanikiwa kufika level hizi so inawezekana kabisaHata mimi naona niende mdogo mdogo nipo div3
Naunga mkono ushauri wa Bengazuu,lakini kwa kuongeza angalia sana matangazo jitahidi kushinda mechi kila mwisho wa ligi angalia una coins ngapi za kuweza kujenga jukwaa lipi hadi uwanja wote utakapokamilika hapo unaweza kuanza kutafuta coins za kununua wachezaji au kuwafanyia player development wale ulionao. Inapendeza sababu utajikuta unacheza kwa malengoKinachokera unapewa option ya kujenga uwanja coins labda 1320 mechi mbili kabla ya div3 league kuisha unajenga ukimaliza ligi wanataka tena ujenge uwanja hapo ushaliwa coins tayari na ukipostpone kujenga unahatarisha nafasi za kujenga baadae.
Naombeni ushauri nimesota hapo div3