Frega Bao
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 554
- 362
Uko vizuriNilipoteza gemu 2 tu
Uko vizuriNilipoteza gemu 2 tu
Mzee wa kuchakachua uko vizuri kwenye kitengo chakoSi ni bora nichakachue tu
Hujachakachua umempiga 13-0
Ukichakachua utampiga 15-0
What is the point????![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Post sent using JamiiForums mobile app

Nakusubiri online ukiwa tayari mkuumdogo mdogo puyo had man of the match award, kikosi kilekile magoli mengi ushindi all the time, ukiwa hujachakachua coins unatakiwa ufunge magoli mengi zaidi na hiyo ndiyo the most challenge we face![]()
Mnajuana vyema kweli bwana MsombaMkuu nionyeshe screen shoot ya coins zako aiseeeeee
Sikuamini hadi -1000000%
Tupia picha ya coins hapa.
Post sent using JamiiForums mobile app

Hahahahahahaha ngoja nikufuate huko,ntakunyooshaNakusubiri online ukiwa tayari mkuu

Itakuwa umeshindwa kuset kaka kuna option ya high weka uone mziki wakeNalo nimecheza mpaka nimechoka
FTS ni la kitoto tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nmeweka high bado nawakimbiza vibayaItakuwa umeshindwa kuset kaka kuna option ya high weka uone mziki wake
Post sent using JamiiForums mobile app
Njoooo njoooo onlineHahahahahahaha ngoja nikufuate huko,ntakunyoosha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu nionyeshe screen shoot ya coins zako aiseeeeee
Sikuamini hadi -1000000%
Tupia picha ya coins hapa.
Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona sikupati online maana unatutisha sana humu. Nataka nikunyooshe kidogoNjoooo njoooo online
Itakua battle ya cheating man vs mtakatifu
Prediction barakamsombaissack95 goal 9 vs Toxic 0![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu timu yako ni ipi?Mkuu mbona sikupati online maana unatutisha sana humu. Nataka nikunyooshe kidogo
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Usiquit tu hiyo mechi tutakapo kutana,timu yako inaitwaje ili nikupate kwa urahisi zaidiHahahahahahaha ngoja nikufuate huko,ntakunyoosha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yerewiiiii 98 coinsmkuu ona mwenyewe mm sijakachuwa niliaza mdogo mdoga![]()
Tunduma cityMkuu timu yako ni ipi?
Oyyyyy njiiooooo onlineUsiquit tu hiyo mechi tutakapo kutana,timu yako inaitwaje ili nikupate kwa urahisi zaidi
Njoooo njoo mkuuMkuu mbona sikupati online maana unatutisha sana humu. Nataka nikunyooshe kidogo
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Nakuja muda,huu
Nazitafuta timu zenu bila mafanikioNakuja muda,huu