Marashaaa95
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 848
- 724
Nimeamua nianze upya ACADEMY DIVISION na macoins ya kumwaga
Nimeshauona utamu wa kuwa na coins ni mwendo wa kusajili wakina MESSI tu


Mimi BALE Mnyama anafanya kazi yake 100%, na ileee mispeed yakeee ni hatari ya karnehahahahhah.....hili game tamu sana,, hata mimi nime cheat coins sasa niko elite division na timu iko strong balaa....

Sijawahi cheat coin lakini ninao wachezaji wote ninaowataka,hebu cheki hii squad mkuu. Tukutane online tucheze pamoja![]()
Nimeamua nianze upya ACADEMY DIVISION na macoins ya kumwaga
Nimeshauona utamu wa kuwa na coins ni mwendo wa kusajili wakina MESSI tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ayo uliyoyataja ni ya phone mkuu?la mpira? kuna real football, fifa na pes. ila kwa gameplay games za psp ni nzuri kama una pad download ppsspp na rom ya pes ucheze game lenye uhalisia
ndio yote ya simu, search playstoreAyo uliyoyataja ni ya phone mkuu?
Sijawahi cheat coin lakini ninao wachezaji wote ninaowataka,hebu cheki hii squad mkuu. Tukutane online tucheze pamoja








Mkuuu samahan nisaidie procedures kucheat coin kwa game guardian maana nimeroot simu tayari lakin nashindwa kuzipata coin........![]()
Hatimayeee nmecheat COINS millions kadhaaa
Ahsante GAME GUARDIAN
LUCKY PATCHER MIYEYUSHOOO![]()
![]()
![]()
![]()
Bro njia nzuri niliyotumia niliingia YouTube nikasearch "How to get unlimited coins in DLS17 using GAME GUARDIAN"Mkuuu samahan nisaidie procedures kucheat coin kwa game guardian maana nimeroot simu tayari lakin nashindwa kuzipata coin........
Niko dv 2 saivi with a record of no lose since naanzaView attachment 532684
Chama langu hilooo: MAKWESA FC
Kama umecheat hiyo kawaida mi na likikosi langu la kigaidi napiga kuanzia 7 kupanda juu dv 2 nlifunga magoli 273 MESSI LAPULGA alifunga magoli 150 pekee yakeNiko dv 2 saivi with a record of no lose since naanza

Haha yes mkuu iko hacked, nafunga hadi nakosa upinzaniKama umecheat hiyo kawaida mi na likikosi langu la kigaidi napiga kuanzia 7 kupanda juu dv 2 nlifunga magoli 273 MESSI LAPULGA alifunga magoli 150 pekee yake![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ukihack coins huwezi kuwa na upinzani labda kama hujui kucheza hili gameHaha yes mkuu iko hacked, nafunga hadi nakosa upinzani

Asanteee nimefanikiwa mkuuuuBro njia nzuri niliyotumia niliingia YouTube nikasearch "How to get unlimited coins in DLS17 using GAME GUARDIAN"
HATUA KWA HATUA WANAKUELEKEZA
NA NI SIMPLE ZAIDI YA LUCKY PATCHER MKUU
kwa maelezo nitakayo kupa hutaelewa Bt video inajieleza yenyewe na utakua unaona hatua kwa hatua jamaa wa kwenye video anavyofanya coz kuna vi hatua ni lazima upite![]()
Hahaha kabisa poti, mtu unakuta mchezaj mmoja kafnga sita, wawili wana hatrickUkihack coins huwezi kuwa na upinzani labda kama hujui kucheza hili game![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hakuna timu itakayo kuchallenge.
MESSI Jana kanifungia Hatrick ×3 nikiua 17-0 aseeeeeHahaha kabisa poti, mtu unakuta mchezaj mmoja kafnga sita, wawili wana hatrick






Watu walikua na coins laki8 sahivi ni kupiga bila kuchakachua narudi kule kwa mara ya kwanza, ila bado ladha ya game ipo pale paleHiyo update mkuu wamebana uchakachuzi wa coins