Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,873
- 51,658
Naona umegundua bila kuwa na coins bado game linapoteza ladha![]()
Hatimayeee nmecheat COINS millions kadhaaa
Ahsante GAME GUARDIAN
LUCKY PATCHER MIYEYUSHOOO![]()
![]()
![]()
![]()
Naona umegundua bila kuwa na coins bado game linapoteza ladha![]()
Hatimayeee nmecheat COINS millions kadhaaa
Ahsante GAME GUARDIAN
LUCKY PATCHER MIYEYUSHOOO![]()
![]()
![]()
![]()
Yeah nmegundua hilo mkuuNaona umegundua bila kuwa na coins bado game linapoteza ladha










Umehack vip coin?![]()
Barcelona anatia huruma aseeeee nmemuibia kikosi kizima mpaka sub![]()
Nimetumia game guardian mkuuUmehack vip coin?
Angalia video YouTubeBro njia nzuri niliyotumia niliingia YouTube nikasearch "How to get unlimited coins in DLS17 using GAME GUARDIAN"
HATUA KWA HATUA WANAKUELEKEZA
NA NI SIMPLE ZAIDI YA LUCKY PATCHER MKUU
kwa maelezo nitakayo kupa hutaelewa Bt video inajieleza yenyewe na utakua unaona hatua kwa hatua jamaa wa kwenye video anavyofanya coz kuna vi hatua ni lazima upite![]()
Dah nimeona ila Mimi phone yangu ni unrootedAngalia video YouTube
Hahaha hivi baada ya div1 unaenda wapi?MESSI Jana kanifungia Hatrick ×3 nikiua 17-0 aseeeee![]()
Sina simu ambayo iko rooted ila nna.coin za kuvente mkuuDah nimeona ila Mimi phone yangu ni unrooted
Ukitoka div 1 unaingia junior Elite div baada ya hapo unaingia Elite div ambako ndio baba lao huku timu BABE zote za dunia unazikuta hukoHahaha hivi baada ya div1 unaenda wapi?
hatari sana Elite div mpira mwingi balaaaaHata mm ilikua ivo Bt sikuona utamu wa kuwa na tucoins TWA madafu mkuu.Sina simu ambayo iko rooted ila nna.coin za kuvente mkuu
Hujui kuroot mkuu??Dah nimeona ila Mimi phone yangu ni unrooted
Image tafadhariiMESSI Jana kanifungia Hatrick ×3 nikiua 17-0 aseeeee![]()