Apk ya Dream League soccer 2017

Mkuu inabidi kwanza u root simu yako kisha weka lucky patcher then fuata vema maelekezo ya jamaa pale juu.
Mi sasa hivi kosi langu wote ni GOLDEN BOYS
Highlight Uzi alioelekeza mkuu me nmeshindwa kuuelewa nmejaribu nnkaishia kufuta game pasipo kujijua[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi naamini nitafanya kazi bila kucheat coins japo players wangu hawajafika level ya golden boys lakini mziki wao ni kwere record zangu ni matata sana
Kila heri mkuu nyie ndo mnaoneshwa dhahabu ile lakini mnakwenda kuchimba shimo pembeni uikute dhahabu ile.ile
 
Mie hapa bila kucheat coins. ,kikosi changu cha kawaida mnoooo ,nilifuata kila hatua nikaishia kufuta games [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27].
Mkuu haina haja ya kucheat sababu inatakiwa upate coins kihalali kwa kucheki video na kushinda mechi,unapopata coins nyingi na kununua mchezaji/wachezaji unaowataka huwa inapendeza zaidi mimi nimeona ni vyema ninunue wachezaji ambao wakiwa kwenye timu zao wananisumbua sana na matokeo yake ni kama haya hapa
 

Attachments

  • 1496675422022.png
    86.3 KB · Views: 77
Mkuu, mimi sijapata sehemu ya kuistall Game.
 
Mkuu, kuna moja hapo ina MB 61. Pia kuna nyingine inaitwa OBB ina MB 213.

Hapo Sijaelewa Mkuu.
hio yenye 61mb ni apk, unainstall kama kawaida,

hio yenye mb 200+ ni data inabidi uzi extract then uchukue folder lake uende folder la android ndani utakuta mafolder mawili ya data na obb, fungua hilo obb then paste humo hilo file la mb 200,

hakikisha folder hilo la mb 200 lipo mfumo kama huu

com.firsttouch.
 
Nimeamua kucheat ili nipate coins Bt procedure zote nimefuata,imebuma mpaka game likajifuta mazima,ikabidi nidownload upya

Any ideas hatua kwa hatua ili nipate coins.
chief mkwawa
Mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeamua ku hack coins haahahahhaahha
 
Sio mtu unashinda 11 au 14 afu POSSESSION una 27 afu mpinzani 73 cheki hapo mtu kapigwa na possession ya maana maana yake pasi za kutosha afu NO SHOOT ON MY GOAL

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…