Apelekwa rumande kwa tuhuma za kumlawiti mlemavu wa akili

kulawiti ni kosa kisheria hata umfanyie shoga.

lakini huyu mgonjwa ana tatizi binafsi,
ni kama yule aliyekuwa anasimulia....
alinishika mkono namuangalia tu
akanipeleka ndani namhangalia tu
akanilaza kitandani namuangalia tu
akanivua nguo namuangalia tu
ananipaka mafuta namuangalia tu
na kuingiza namuangalia tu.
Mkuu ukiambiwa mtu ni mgonjwa wa akili nadhani kinachokujia kichwani mwako ni mtu anaeokota makopo , mchafu sana, anatembea peku , anaongea peke yake nk.

La hasha, hapa mtaani kulikua na dada ni msafi hata wewe humfikii lakini dishi limeyumba. Ila ukimuona na ukaambiwa hiyu cheupe chekundu huwezi kuamini labda ukae nae aanze kuongea.

Kuna ishu ilitokea jamaa alimkula huyo manzi halafu alichomuahidi kumpa hakumpa, acha aanze kumtangaza kwa watu, na kitu alichoahidiwa ni cha kitoto kabisa kwa kipindi hicho ambavo hakupewa akawa analalama kwa watu kama vile mtoto usipompa kitu ulichomuahidi.

Wagonjwa wa akili wametofautiana mkuu, si ajabu huyo nae ni hivo hivo tu aliahidiwa kitu akakubali kupigwa pipe.!
 
Mtu kuwa mgonjwa wa akili haimanishi ndio hana ufahamu, kumbukumbu au hawezi kusimulia.

Nimekutana nao mara kadhaa.

Pia kuna wakati mgonjwa anaweza kuwa haongei kabisa au akafanya Vurugu, lakini baada ya muda unaweza kupiga nae stori vizuri tuu.
Miaka ya nyuma kabla ya mwendokasi pale fire (dsm ) kulikuwa na kichaa anaishi chini ya nguzo ya umeme, kichaa hasa.

Siku moja asubuhi naenda job nilikuta yule kichaa anaongea na mama nilienda mbali kidogo nikawa nawasikiliza.

Yule mama anamsimulia hali ya nyumbani kwao kwa kuwataja majina watoto.

Nilimngoje yule mama nikajaribu kumuuliza kama wanafahamiana na yule kichaa, anyway hakunipa ushirikiano mzuri wa majibu.

Kilichofuata baada ya siku kama mbili yule kichaa alihama pale kabisa.

Ninachotaka kusema ni kuwa hawa watu wana akili japo huwa ni kwa muda fulani fulani
 
Vitendo ivi nikosa kisheria .... lakini nina swali mbona kama mtendwa karahizisha sana yani una bebwa mpaka unapelekwa kitandani , bado upakwe mafuta bado tu umetulia kweli? ...inamana hakuna hata mtu aliye ona mpaka unafikishwa ndani? ...... au vichaa wa hapa Dar wapo tofauti?
 
Swali kwa Wataalamu wa Sheria;

Je Mtu aliyethibitishwa kuwa ni Mlemavu wa akili anaweza kutoa Ushahidi na ukazingatiwa Mahakamani?

Vipi kama akili zake zimemwambia kuwa Amebakwa ilhali hajabakwa? Maana wengine humu Mtaani tunawaona wakiendesha magari virtually na wanaamini kabisa kuwa wamo ndani ya gari halisi, na honi wanapiga kwa mdomo..
Swali kwa hakimu.Mimi sijibu.😂😂😂😂
 
Waandishi wa siku hizi banah! Ilikua kuna haja gani kuelekeza jinsi tukio lilivyofanyika huko nyumban? Ilitosha tu kusema amemlawiti
 
Mtu kuwa mgonjwa wa akili haimanishi ndio hana ufahamu, kumbukumbu au hawezi kusimulia.

Nimekutana nao mara kadhaa.

Pia kuna wakati mgonjwa anaweza kuwa haongei kabisa au akafanya Vurugu, lakini baada ya muda unaweza kupiga nae stori vizuri tuu.
Miaka ya nyuma wakati niko Old Moshi secondary school huko Kilimanjaro, pale jirani kulikuwa na binti mmoja mzuri tuu but alikuwa mlemavu wa akili.

Sasa shule yetu ilikuwa ni boys na yule binti siku dish likiyumba alikuwa anatoroka nyumbani kwao na kuzunguka zunguka shuleni wakati mwingine kifua wazi matiti nje nje, yaani kavaa sketi tuu. Basi bwana kumbe baadhi ya wanafunzi wakawa wanamlia timing na kumgonga...

Kuna jamaa mmoja ndiyo ikawa kama ni demu wake yani, halafu jamaa ni mtanashati na alikuwa anajifanya mlokole. Siku moja tuko kwenye morning school assembly ghafla yule binti akaja mstarini na kuanza kumtafuta jamaa... nadhani alikuwa na genye siku hiyo hahahaaa...

Basi bwana akazunguka mstari mmoja baada ya mwingine mpaka akamuoana jamaa na kumkamata mkono na kumvuta huku akimwambia twendee twendee daaah yaani jamaa alipata aibu ya mwaka.

Walimu pale mstarini wakawa wanashadidia na kumwambia jamaa nenda, nenda sasa maana leo umeumbuka ...
 
“Alikuja kunichukua nyumbani na kunipeleka nyumbani kwake kisha akanitia chumbani na kunivua nguo akanilaza kifudifudi akanipaka mafuta nyuma na kunifanyia kitendo hicho na alipomaliza akanambia nisiseme nyumbani,” alieleza muathirika huyo.
Kwa maelezo haya fasaha ulemavu wa akili uko wapi
 
Miaka ya nyuma wakati niko Old Moshi secondary school huko Kilimanjaro, pale jirani kulikuwa na binti mmoja mzuri tuu but alikuwa mlemavu wa akili. Sasa shule yetu ilikuwa ni boys na yule binti siku dish likiyumba alikuwa anatoroka nyumbani kwao na kuzunguka zunguka shuleni wakati mwingine kifua wazi matiti nje nje, yaani kavaa sketi tuu. Basi bwana kumbe baadhi ya wanafunzi wakawa wanamlia timing na kumgonga... Kuna jamaa mmoja ndiyo ikawa kama ni demu wake yani, halafu jamaa ni mtanashati na alikuwa anajifanya mlokole. Siku moja tuko kwenye morning school assembly ghafla yule binti akaja mstarini na kuanza kumtafuta jamaa... nadhani alikuwa na genye siku hiyo hahahaaa... Basi bwana akazunguka mstari mmoja baada ya mwingine mpaka akamuoana jamaa na kumkamata mkono na kumvuta huku akimwambia twendee twendee daaah yaani jamaa alipata aibu ya mwaka. Walimu pale mstarini wakawa wanashadidia na kumwambia jamaa nenda, nenda sasa maana leo umeumbuka ...
mwamba alizidi mpaka kukaririwa sio poa yaani

Alifukuzwa shule au?
 
Kuna mambo mengine hii dunia, basi tu. Afya ya akili ni ugonjwa unaokua kwa kasi sana na ni shida kubwa sana
 
kulawiti ni kosa kisheria hata umfanyie shoga.

lakini huyu mgonjwa ana tatizi binafsi,
ni kama yule aliyekuwa anasimulia....
alinishika mkono namuangalia tu
akanipeleka ndani namhangalia tu
akanilaza kitandani namuangalia tu
akanivua nguo namuangalia tu
ananipaka mafuta namuangalia tu
na kuingiza namuangalia tu.
Kuna habari moja ya dada alisimulia jinsi alivyokatwa masikio na mpenzi wake huku yeye ametulia tu iliniuma sana, nilijiuliza maswali mengi sana na hayana majibu,

Hata hili ulilolitaja kama ni kweli kitendo alichofanyiwa alikichukia reaction yake ya wakayi tukio linatendeka inaweza kuelezea mengi yaliyokuwa yanaendelea kwenye maisha ya mtendwa.
 
Miaka ya nyuma wakati niko Old Moshi secondary school huko Kilimanjaro, pale jirani kulikuwa na binti mmoja mzuri tuu but alikuwa mlemavu wa akili. Sasa shule yetu ilikuwa ni boys na yule binti siku dish likiyumba alikuwa anatoroka nyumbani kwao na kuzunguka zunguka shuleni wakati mwingine kifua wazi matiti nje nje, yaani kavaa sketi tuu. Basi bwana kumbe baadhi ya wanafunzi wakawa wanamlia timing na kumgonga... Kuna jamaa mmoja ndiyo ikawa kama ni demu wake yani, halafu jamaa ni mtanashati na alikuwa anajifanya mlokole. Siku moja tuko kwenye morning school assembly ghafla yule binti akaja mstarini na kuanza kumtafuta jamaa... nadhani alikuwa na genye siku hiyo hahahaaa... Basi bwana akazunguka mstari mmoja baada ya mwingine mpaka akamuoana jamaa na kumkamata mkono na kumvuta huku akimwambia twendee twendee daaah yaani jamaa alipata aibu ya mwaka. Walimu pale mstarini wakawa wanashadidia na kumwambia jamaa nenda, nenda sasa maana leo umeumbuka ...
nimecheka mnoooo khaaaah.
 
kesi ya michongo hio !

mlemavu wa akili miaka 35 si una nguvu za kutosha kabisa ila ukaliwa umetulia tu ?

na hizo akili za kutoa ushahidi umezipata wapi ?

acheni ujinga bbana
 
Back
Top Bottom