Mshauri mpwao naye aanze mazoezi kwenye hiyo gym. Tena awe anaongozana na mke kila aendapo gym. Hii nadhani itasaidia japo kidogo kurejesha imani.Mpwa wangu (mtoto wa dada yangu) amenifuata asubuhi hii akilalamika ana miezi miwili hatafaidi ndoa yake. Kila aombapo mchezo mkewe humwambia amekatazwa na mwalimu wake wa mazoezi ya viungo, anadai kufanya mapenzi kutamsababishia kushindwa kupungua uzito. Mama huyo alishauriwa na daktari apunguze uzito.Nimemwambia mpwa wangu apitie jioni ili tuongee vizuri.Je nimshaurije huyu bwana mdogo?
Mpwa wangu (mtoto wa dada yangu) amenifuata asubuhi hii akilalamika ana miezi miwili hatafaidi ndoa yake. Kila aombapo mchezo mkewe humwambia amekatazwa na mwalimu wake wa mazoezi ya viungo, anadai kufanya mapenzi kutamsababishia kushindwa kupungua uzito. Mama huyo alishauriwa na daktari apunguze uzito.
Nimemwambia mpwa wangu apitie jioni ili tuongee vizuri.
Je nimshaurije huyu bwana mdogo?
Mpwa wangu (mtoto wa dada yangu) amenifuata asubuhi hii akilalamika ana miezi miwili hatafaidi ndoa yake. Kila aombapo mchezo mkewe humwambia amekatazwa na mwalimu wake wa mazoezi ya viungo, anadai kufanya mapenzi kutamsababishia kushindwa kupungua uzito. Mama huyo alishauriwa na daktari apunguze uzito.
Nimemwambia mpwa wangu apitie jioni ili tuongee vizuri.
Je nimshaurije huyu bwana mdogo?
Mpwa wangu (mtoto wa dada yangu) amenifuata asubuhi hii akilalamika ana miezi miwili hatafaidi ndoa yake. Kila aombapo mchezo mkewe humwambia amekatazwa na mwalimu wake wa mazoezi ya viungo, anadai kufanya mapenzi kutamsababishia kushindwa kupungua uzito. Mama huyo alishauriwa na daktari apunguze uzito.
Nimemwambia mpwa wangu apitie jioni ili tuongee vizuri.
Je nimshaurije huyu bwana mdogo?
Umeona ee Kamanda?! Visababu vingine jamani!! Pole Mpwa wa mwenzetu!
Afu kuna wanaomshangaa eti mwanaume anaipenda sana kiasi cha kukosa usingizi jamani haya mambo yaacheni tu kama yalivyo....
Zamani tulikuwa tunasimuliwa kuwa Bibi zeu walikuwa waki'nyimwa' wanaitisha kabisa kikao cha watu wazima, wanashtaki .'wazee wangu, mume wangu siku hizi anagoma kula chakula usiku' ujumbe unakuwa umefika sasa ole wako kuwepo na mtoto hakawii kukuumbua mbona kila siku tunakula pamoja na bebe mezani?
Hii ni haki bana na ukishaolewa kubali tu unless una sababu ya msingi kama kuumwa au umekatazwa kwa sababu za kidaktari .....sasa mwalimu wa mazoezi!! Mwe!
you are too innocent.... huyo instructor anajua kabisa anachofanya, ni jamaa ndio *****SEX ndio ndio exercise nzuri
ya ku loose weight ....
Huyo ana sababu zake zingine binafsi..
na huyu instructor wake hajui kitu ..
Na huyu dada anakubali vipi kudanganywa kiasi hicho..
siangie hata kwenye internet afanye uchunguzi mwenyewe..
kama kweli huyu instructor wake anambia ukweli au la..
Kudos!Atafute nyumba ndogo, mambo yote hayo yataisha. Huwezi kunyimwa unyumba miezi 2 kisa mazoezi. She is not serious
hili ni swali zuri sana kama umeamua kuvunja ndoaMwambie huyo mpwa wake amwambie huyo Mkewe achague moja kati ya Ndoa na Mazoezi.
Atafute substitute
Naunga hoja yako mkuu Afro... Kwa kuonzea nashauri huyo mpwa wake aende mazoezi na yeye, the same gym, huko watashauriwa zaidi, teh!SEX ndio ndio exercise nzuri ya ku loose weight ....Huyo ana sababu zake zingine binafsi..na huyu instructor wake hajui kitu ..Na huyu dada anakubali vipi kudanganywa kiasi hicho..siangie hata kwenye internet afanye uchunguzi mwenyewe..kama kweli huyu instructor wake anambia ukweli au la..