Anthony Diallo abanwa kona zote nne

Kwa nini serikali isiipige jeki TBC kws kuikodi mitambo ya Star Tv labda TBC itaimarika na kusikika, Wahenga wakisema Kufa Kufaana.
 
fredwaa alisoma nyakati mapema. mtu mzima angekuwa anaathirika

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wahenga wanasema kikulacho...........

Post sent using JamiiForums mobile app
 
hivi ni kweli so raia? leteni mambo sawa. sasa sijui atakuwa mtu wa congo, rwanda, burundi au uganda. kwanini gwajima alituonjesha tu supu alafu nyama akaificha? fungukeni.
Eti wanasema ana uhusiano na nchi moja ya Afrika Magharibi, labda!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kweli watanzania yatupasa kujitambua. Naona wengi wanamuongelea Diallo kama mtu binafsi, wanasahau kuwa SMG ni group of companies ndani mwake kuna watanzania mamia wana ajira zao. Diallo hataabiki kama hao waajiriwa ambao vibarua havieleweki. Na tukumbuke anayedaiwa hiyo kodi sio Diallo bali ni SMG.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
hivi ni kweli so raia? leteni mambo sawa. sasa sijui atakuwa mtu wa congo, rwanda, burundi au uganda. kwanini gwajima alituonjesha tu supu alafu nyama akaificha? fungukeni.
Eti wanasema ana uhusiano na nchi moja ya Afrika Magharibi, labda!
 
Hakika magufuli anastahili pongezi, nchi ilikuwa inatumiwa na wachache, bil4.5 si limbikizo la siku moja au mwaka mmoja, ila inawezekana ailikuwa halipi kodi kwa muda mrefu maana alikuwa anakingiwa kifua na mfumo dhalimu uliyokuwepo, sasa rais aliyepo hana mzaha kwa hili na ndo tulichokuwa tunakililia kwa muda mrefu la ajabu watu wanaponda tena. Vituo vya mafuta ambavyo havilipi basi na vyenyewe vimeanza kuonja alovera. Heko Magufuli hata km una mapungufu but nakuunga mkono kwa hili.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Najifunza kwamba wanasiasa wamepewa mwanya wa kukopa ila wanautumia vibaya.
Hili linaonyesha kuwa biashara nyingi za wanasiasa ni kama mimba inayosubiri kuchoropoka kwa sababu hazina sehemu ya kushikilia pindi watakapoondoka kwenye nafasi hizo. Wao wakipata posho, mishahara, mikopo wanamwaga tu bila kujua cash flow statement inasomaje.
Capt Komba R.I.P
 
Serekali ya vijisasia tu hii. Ambaye hakukuunga mkono mtie adab kwanza. Utashangaa, atakaye thubutu kwenda kumpigia magoti anaweza funguliwa chain yake. Isijekuwa ni mbinu tu za kututoa kwenye escro tusiulize zile za masandarusi nnani kazichukua
Kwani hata mkiuliza mkikaliwa kimya mtafanyaje. Mbona Bashite mlipiga kelele hamkufua dafu?
 
fredwaa alisoma nyakati mapema. mtu mzima angekuwa anaathirika

Post sent using JamiiForums mobile app
Wako wengine akina Dotto Bulendu, Nyamwihula n.k
Usinikumbushe FREDWAA alihama wanangu wakalia.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kweli watanzania yatupasa kujitambua. Naona wengi wanamuongelea Diallo kama mtu binafsi, wanasahau kuwa SMG ni group of companies ndani mwake kuna watanzania mamia wana ajira zao. Diallo hataabiki kama hao waajiriwa ambao vibarua havieleweki. Na tukumbuke anayedaiwa hiyo kodi sio Diallo bali ni SMG.

Post sent using JamiiForums mobile app
Mpe moyo na hiyo SMG yako

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom