habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
Msema kweli mpenzi wa Mungu
alijitolea sana kwa chama chake na pia ameajiri watanzania wengi tu na hawa watanzania wanafamilia zao zinawategemea
wangeangalia namna njema ya kutatua kuliko kumfungia maana kundi kubwa limeathirika sana, binafsi nimeathirika kukosa kipindi cha WAMBURA MTANI cha kila jumapili
nimehuzunika sana japokuwa huyu mtu sijawahi hata kukutana nae
alijitolea sana kwa chama chake na pia ameajiri watanzania wengi tu na hawa watanzania wanafamilia zao zinawategemea
wangeangalia namna njema ya kutatua kuliko kumfungia maana kundi kubwa limeathirika sana, binafsi nimeathirika kukosa kipindi cha WAMBURA MTANI cha kila jumapili
nimehuzunika sana japokuwa huyu mtu sijawahi hata kukutana nae