Emmanuel R. Ntobi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 691
- 1,496
Karma Laws
BBC inaskika, wanatangaza humo RFA kwa English saa 24, muda wa kiswahili ukifika wanatangaza habar kwa kiswahiliNaimis BBC tu
Post sent using JamiiForums mobile app
Labda walitapeliana/kudhulumiana ndyo akatimkia Team MembeNakumbuka alianzishaga Community airlines enzi hizo akiwa na Lowasa.
Kwa mujibu wa Gwajima Diallo ni wa kule kwa kina Pr.SaitotiDiallo na mdg wake Manyala walijipemdekeza sana kwa msukuma mwenzao, mpk wakamchafua Lowasa wewe. Natamani greda likavunje vunje kile kigorofa chake na arudi kwao akalime pamba tu
BBC Swahili kama kawa SAA 3.00 ickuMimi pia
Post sent using JamiiForums mobile app
damage ishafanyika ,ni kampuni gani ya maana itampelekea tena matangazo ya biashara?Nadhani watayamaliza kwa maslahi ya pande zote mbili.!
Post sent using JamiiForums mobile app
Aende kwa Bashite akachukue hela .Dialo kaajiri watanzania wangapi?
Anyway,hili ni funzo kwa wamiliki wengine wa vyombo vya habari na matajiri wa nchi hii kwa ujumla.
Mawaziri wa leo mna la kujifunza pia pamoja na wabunge mnaotunga sheria za nchi hii.
Wewe,Diallo na Lowassa walishawahi kuwa marafiki wewe,tena wakaanzisha community airlines,wewe hao walikuwa wanamtandao wewe.Diallo alikuja kugeuka akaingia Membe team.