Anthony Diallo abanwa kona zote nne

Anthony Diallo abanwa kona zote nne

Fedha za ufisadi zina jeuri ya ajabu hata sijui ndege zile ziliishia wapi.
Zingelikuwepo mpaka leo kila mhaya angelikuwa ameishapanda ndege kwa wanavyopenda sifa.

Post sent using JamiiForums mobile app
Maskini mbavu zangu

Sukumaland
 
Ccm sio marafik wa kweli

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wewe,Diallo na Lowassa walishawahi kuwa marafiki wewe,tena wakaanzisha community airlines,wewe hao walikuwa wanamtandao wewe.Diallo alikuja kugeuka akaingia Membe team.
Umesema sawa kua alikua mwana mtandao, lakini tu hajawahi kua team lowassa akahamia team membe maana tofauti zao zilikua kubwa kabla hata hiyo inayoitwa team membe haijazaliwa
 
Mh.Rais wetu Magufuli hana urafiki na mkwepa kodi hata kama ni mkewe au mwanawe wa kumzaa.Asipolipa kodi funga biashara.
Amewambia TRA maneno mawili tu FUNGA.

Hata kwenye vituo vya mafuta ni maneno mawili tu "FUNGA".

Iwe ni kada wa CCM au nani asipolipa kodi FUNGA biashara .
Maneno ni mawili tu FUNGA.



Post sent using JamiiForums mobile app
FUNGA ni neno moja mkuu
 
Angekuwa yule jamaa tungesikia kakimbilia mahakamani,na watu wake wangekuwa wanaimba wimbo wa kaonewa Dj,kaonewa Dj!
Teh teh teh teh teh!! Huu uzi sijui kwa nini nilikuwa naupita!! Eti DJ kaonewa!! Lol

Sukumaland
 
Hii ndo " Haki sawa kwa wote" ... ..

Wafanyakazi wa umma na wengneo wanalipa kodi bila kukosa na wanalipa kwelikweli hakuna pa kutorokea..
Kwa hili la kodi wote lazima tuwe upande wa serikali, kila mtu alipe kodi kwa mujibu wa sheria.. hakuna kuonewa bali kulipa kodi..

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Channel Ten hivi juzi walirusha katika taarifa yao ya habari, Bashite akipokea msaada wa kompyuta 50...na walirusha pia akitoa neno la shukrani.
Hao sijui umoja wa wanahabari hawakuwa realistic. Unamfungiaje mtu forever? Soon wataanza kusalimu amri mmoja baada ya mwingine maana tukubali tukatae huwezi shindana na serikali bali unaweza shindana na Bashite. Bashite kwa sasa ana cheo hivyo anaweza kuwamaliza wasipokuwa makini. Hapa Africa bana serikali ni kila kitu.
 
Nchi hii kushinei sasa kila mtu naona ni mbaya tuu kwa mtukufu jmp... Cjuw nani mwema kwake... Very ungrateful huyu nabii

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wewe,Diallo na Lowassa walishawahi kuwa marafiki wewe,tena wakaanzisha community airlines,wewe hao walikuwa wanamtandao wewe.Diallo alikuja kugeuka akaingia Membe team.
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
 
Acha avune alichokipanda 2015 maana udikteta wote tunaoushuhudia katika nchi hii leo kuna mchango wake mkubwa sana huyu mzee
 
Dua na maombi yangu ni kuona huyo Diallo anafirisika kabisa. Katika hili asiinuke kabisa.
Tena nina mashaka sana hilo deni ni dogo sana ukilinganisha na Ukwepaji kodi mkubwa aliowahi kuufanya kwa miaka mingi chini ya Mwamvuli wa CCM.

Kwa mfano, wakati ule wa kampeni 2015 ilikuwa kila baada ya Dakika 15 tu kulikuwa na Tangazo la CCM ambalo kama lingelipiwa kodi basi sio chini ya shilingi Elfu 25 kwa tangazo, hivyo kwa siku moja ambayo ni masaa 24 ilipaswa kulipia kiasi cha shilingi 2.5milioni. Sasa piga kwa siku zote 100 za kampeni ni shilingi ngapi?
Yote hayo ni mbali na ile mikutano ya Live ya kila mara ya kampeni za CCM.
 
Sisi wa MSANGA CHOLE na MANEROMANGO tunaitaga BOKO

Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Ni kweli Mkuu. BOKO. Nilikuwa natunza heshima kwa JOHN wa Simba alietoka Azam.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Siyo kweli, watanzania tunapendana ila kuna watu walifanya CCM ni chaka la wakwepa kodi. Kwa nini wengine walipe halafu CCM wasilipe? 4.5bn unaona ndogo?Kila siku muuza mchicha anakimbizana na mgambo wajiji alipe kodi. Sizonje hataki ujinga .
Hata mwenyekiti wao halipi kodi.
 
Back
Top Bottom