afadhali umetusaidia. Mimi natoka huko kwa muyo maza. Yaani ni shida tupu. Barabara hakuna ni hovyo kabisa ahadi zake za kujenga barabara ziko wapi jamani? Ukipita kwetu mpaka kihurio alikozaliwa ni aibu tupu. Hakuna hospitali na baya kuliko yote jamani barabara........ Hakunahuyu maza ni uselessy kabisa jimbo lake halina barabara ya lami hata moja , zaidi ya ile inayopita kwenda arusha,wananchi wake wanaishi maisha duni sana.barabara mbovu sana hasa huko mlimani, hospitalini hakuna madaktari na walimu wanakimbia vituo vyao vya kazi,na keshwadanganya wananchi wake sana. Yupo anamuuguza mmewe tu.