Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
mama kaboyoka jipange vizuri tu hapo 2015...jimbo lako na unatakiwa usilale tu ..huyu mama maneno mengi hana lolote tena watu wameshashtukia trick zake hana lake tena pale jimboni...barabara ya kwenda milimani upereni mvua ikinyesha kwa sekunde moja tu basi magari hayapiti