SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Hayo machozi ujue alivuta hisia siku mzee J4 alivyopigwa chini kwenye mbio za kutaka kugombea urais na ukawa mwisho wa ndoto zake za kuwa first lady, msanii sana huyu bi mkubwa.Huyu mama anaenda kwenye misiba kule upareni na kujikusanya na wamama wa kule na kuanza kulia nao ...huu ni ujinga ataliaa wee hapo na ujanja wake ni kupata huruma zao ila wameshamshtukia ...na ndio maana anajishtukia sasa hivi ..abaki zake huko huko mtera
hatuongelei mate picha zipo
View attachment 54880