Capitalist
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 164
- 27
tehe, tehe, tehe, tehe tehe!!ana akili fupi na ndogo kama za william malecela na dead-man walking john samuel malecela(small letters intended!!!!) na ndio maana wanaelewana sana...akili za mkorogo.
tehe, tehe, tehe, tehe tehe!!ana akili fupi na ndogo kama za william malecela na dead-man walking john samuel malecela(small letters intended!!!!) na ndio maana wanaelewana sana...akili za mkorogo.
- Wenzako wanajadili siasa, wewe umetumwa na agenda tofauti kabisa na maneno yako yanakushitaki, sikiliza kama haya maneno ni kweli basi waliokutuma wasingetakiwa kuishi kwa wasi wasi! ha! ha! ha!, kama haya yote ni kweli then kelele za nini, aliyekwambia ninatafuta u-DC ni nani huyo?
- Mmezoea uchawi sasa mmekutana na watu wasioamini uchawi mnahangaika, ha! ha! ha!, wewe mwenyewe hapo unasaidiwa vipi huna kwenu? ha! ha! ha!, sasa wanakupa wali wa bure ndio wanakutuma kuja kutukana watu humu, halafu akili yako ndogo sana unasema maneno yanayotokushitaki mwenyewe kwamba wamekutuma!
- By THE WAY, MKITOKA KWA WACHAWI WENU MSIKOSE KUPITIA KULE Super Malecela Blog kumekucha sana, moto wa kuotea mbaali ndio mtajibeba na nilikotokea! ha! ha! ha! ha!, kumbe sifa zangu zinawatesa, hapana sizitafuti zinakuja, nimefungua blog kabla hata haijaisha tayari watu 4200 kwa siku, mimi nafanya vitu vyangu sifa zinakuja!! ha! ha! ha! ha! ila kuimbilia kwenye mablog sasa mmefika mbali itawala wenyewe! ha! ha! ha! karibuni sana ila msikimbie!
William John Samwel Malecela. Le Big Shooow!!
Hii ndo taswira ya mtu ambae angeiwakilisha Tanzania bunge la africa mashariki. Nawashukuru sana wabunge kumpiga chini huyu baharia. Tungeaibika kwa kauli za aina hii. Angeibuka Lusinde mwingine ndani ya bunge la east afrika! Full mipasho!unafaa sana kuwa mc wa kichen pati
Hii hasira ilimkosesha Sarkov urais kule Ufaransa!! Kumbuka, dont argue with a "fool".......- Wenzako wanajadili siasa, wewe umetumwa na agenda tofauti kabisa na maneno yako yanakushitaki, sikiliza kama haya maneno ni kweli basi waliokutuma wasingetakiwa kuishi kwa wasi wasi! ha! ha! ha!, kama haya yote ni kweli then kelele za nini, aliyekwambia ninatafuta u-DC ni nani huyo?
Hizi hasira zilimkosesa Sarkov urais kule Ufaransa!!
Kumbuka, Dont argue with a "fool"......
- Mmezoea uchawi sasa mmekutana na watu wasioamini uchawi mnahangaika, ha! ha! ha!, wewe mwenyewe hapo unasaidiwa vipi huna kwenu? ha! ha! ha!, sasa wanakupa wali wa bure ndio wanakutuma kuja kutukana watu humu, halafu akili yako ndogo sana unasema maneno yanayotokushitaki mwenyewe kwamba wamekutuma!
- By THE WAY, MKITOKA KWA WACHAWI WENU MSIKOSE KUPITIA KULE Super Malecela Blog kumekucha sana, moto wa kuotea mbaali ndio mtajibeba na nilikotokea! ha! ha! ha! ha!, kumbe sifa zangu zinawatesa, hapana sizitafuti zinakuja, nimefungua blog kabla hata haijaisha tayari watu 4200 kwa siku, mimi nafanya vitu vyangu sifa zinakuja!! ha! ha! ha! ha! ila kuimbilia kwenye mablog sasa mmefika mbali itawala wenyewe! ha! ha! ha! karibuni sana ila msikimbie!
William John Samwel Malecela. Le Big Shooow!!
Nimeipenda sana hii kweli watanzani inatakiwa tuwe makini na viongozi wahaina hii kama Wiliam na Lusinde Nape na wengine wengi ndani ya chama cha magamba kwani hatari yake nikama hii saratani Shibuda kweli Wiliam unafaa kuwa mc wa kicheni patiHii ndo taswira ya mtu ambae angeiwakilisha Tanzania bunge la africa mashariki. Nawashukuru sana wabunge kumpiga chini huyu baharia. Tungeaibika kwa kauli za aina hii. Angeibuka Lusinde mwingine ndani ya bunge la east afrika! Full mipasho!unafaa sana kuwa mc wa kichen pati
- Asisitiza damu kutomwagika 2015
- Awwaonya wanaotoa lugha chafu dhidi ya JK
Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango amewashukia baadhi ya viongozi wa Chadema wanaojipitisha jimboni kwake na kutoa kauli za kuhatarisha amani iwapo hawatashinda katika uchaguzi wa Mwaka 2015.
Source: Gazeti la Uhuru: Mei 28, 2012.
Kiswahili ni lugha ya Taifa, hata cha kuongea unataka ufundishwe darasani?Nimeipenda sana hii kweli watanzani inatakiwa tuwe makini na viongozi wahaina hii kama Wiliam na Lusinde Nape na wengine wengi ndani ya chama cha magamba kwani hatari yake nikama hii saratani Shibuda kweli Wiliam unafaa kuwa mc wa kicheni pati
Hivi zile Tsh. 200,000,000/- alizotoa Jeethu Patel kwenye arusi ya Anne Kilango na John Samwel Malecela zilikuwa mchango au mkopo? Ana mengi ya kutueleza huyu mama. Najua anasumbuliwa na kihoro cha ndoto yake ya kuwa first lady kuyeyuka kama barafu juani.
- Asisitiza damu kutomwagika 2015
- Awwaonya wanaotoa lugha chafu dhidi ya JK
Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango amewashukia baadhi ya viongozi wa Chadema wanaojipitisha jimboni kwake na kutoa kauli za kuhatarisha amani iwapo hawatashinda katika uchaguzi wa Mwaka 2015.
Source: Gazeti la Uhuru: Mei 28, 2012.
mnafiki mkubwa huyu mama, hebu kwanza atuonyeshe sahihi yake kwenye list ya kabwe zito, kama haipo na anyamaze milele, kujikomba kwa JK sasa akitolewa kauli za matusi kwani JK ni hati miliki yake? anatia aibu amedunda kweli kweli, UWT kakutana na mkali sofia kapigwa dafrau maana kazoea majungu, cha ajabu hata kwenye nyumba ya mzee baada ya kugeuka kero kero na kujaribu kwa nguvu kufunja uhusiano mzuri wa mzee na familia yake kagonga mwamba sasa,alishapelekwa polisi na binti mkubwa wa mzee kwa ruhusa ya mzee, alishajaribu kutaka kuchakachua nyumba ya mzee na marehemu mmewe ya pale sea view, na kunahabari kwamba hata viwanja vya marehemu mama Nezerina Malecela vya kawe alishapitisha mguu huko. Huku upareni tupeni habari za kiwanda cha tangawizi, huyu mwanasiasa changudoa apeleke ushenzi wake huko huko jimboni kwake kama anaweza, toeni haya mamluki kujikomba kote huku hata uDC hajapewa kazi kushinda na william kupanga mikakat ya kuimaliza first family ya mzee, hamuwezi ng'o watanzania tuna
Wamjua vema, hv huyu Wiliam kaibukia wapi? no wonder ni mpenda sifa sana. Tulimfahamu Mkwawi na Senyangwa RIP)
Tunakosea tukisema kuwa ilikuwa ni lazima kila Mbunge aweke saini kwenye hoja ya ZITTO. Huo utakuwa ni mtazamo hasi kwani kila mtu alitafakari na kuona lipi sahihi. Tunasahau pia kuwa ile hoja haikuwa ya ZITTO bali ya TINDU LISSU ZITTO aliidandia tu kwa ajili ya kujijenga na kurudisha imani kwa viongozi wake wa CHADEMA, imani ambayo ilianza kuwatoka kutokana na kutangaza kwake nia ya kuwania urais 2015. Aidha Anne Kilango anao wajibu wa kutetea JK kutukanwa hajakosea, na sidhani kama ni busara kwa kiongozi wa nchi tena aliywekwa madarakani kwa mujibu wa Katiba ya nchi kutukanwa hadharani. Tutakuwa wa ajabu sana endapo hatutaheshimu mamlaka ambazo hata vitabu vitakatifu vinatuasa kuziheshimu. Maendeleo tunayolilia pengine hatuyapati kutokana na laana hizi ambazo zinachochewa na wanasiasa wenye uchu wa madaraka, ubinfsi na chuki binafsi.
Mama mkwe wangu ana mambo kweli. Ni bora akawapelekea Ikumbo na naki hizo hela tokwa kwa Patel kuliko kuwaacha wanaye wauze vitumbua minnessota. Kale kafupi Ikumbo naye nasikia anataka kuingia siasa baada ya mjamaica wake kafumaniwa akipewa tigo. Siye yetu macho tusubiri tuone. sidhani huyu mama atathubutu kugombe atena kwa maana kashfa za binti zake na zake mwenyewe zitamuandama sana
huyu mama anaweweseka ..mbunge gani huna facebook twitter wala ngugu zake ..huyu mama ni mjima mambo yake yote ni ya ki-local ..pesa ya kiwanda cha tangawizi kaila barabara mbovu jimbo lake halina barabara ya lami hata moja anashinda kwa mumewe mze3e malecela keshalisahau jimbo lake huyu anaweza hata asifike 2015 kwa jinsi watu walivyomchoka tayari
hospitali zinatotegemewa ni za katoliki
- Wacha hizo mimi nipo mitandaoni hata kabla hajaingia popote, wacha hizo sitaki kugusa mjadala wenu kwa sababu kwangu ni irelelvant, last time mlisema haya haya akawashinda, kama kawaida mmeanza tena sio worthy ila kwa wasiojua, nilitaka tu kumjibu huyu mtu aliyetumwa hapo juu, lakini sina shida na huu mjadala huwa ninashikiri mijadala serious sio kama huu!
William.
- Asisitiza damu kutomwagika 2015
- Awwaonya wanaotoa lugha chafu dhidi ya JK
Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango amewashukia baadhi ya viongozi wa Chadema wanaojipitisha jimboni kwake na kutoa kauli za kuhatarisha amani iwapo hawatashinda katika uchaguzi wa Mwaka 2015.
Source: Gazeti la Uhuru: Mei 28, 2012.