Anna Tibaijuka Viwanja vyake watamnyang'anya?

Anna Tibaijuka Viwanja vyake watamnyang'anya?

Ana shamba kubwa hekari 3000 Muleba ukishakunja barabara ya kuelekea Chato, shamba limezinduliwa na Kikwete. Ajabu halijaendelezwa zaidi ya kuzungushiwa fensi na kujenga vijumba vya wafanyakazi. Huu uroho na umimi utamuua huyu mama.
Huna lolote la maana, unaonesha chuki zako tu binafsi, sasa kama limezinduliwa na kikwete ni kosa? ?hoja haina mashiko,Acha chuki kaza kamba tafuta vyako na wewe. Kama kapata kihalali kwanini iwe nongwa, kikubwa kama kwel haliendelezwi tutasikia, hayo mengine yote ni wivu na uzandiki
 
Yule Mama Mambo Yake Ni Makubwa Ana Kinga Hata Mahakamani. Juzi Katoka Kumwakilisha Mkulu
Nchi Ya Asali Na Maziwa
Huu nao uongo mweupe, hakuna aliye juu ya sheria wala kinga. Magufuli kazi yake amesha jipambanua ni kufata sheria na ukweli na haki.
 
Ukifika kigamboni eneo la kisotha kuna eneo kuna viwanja zaidi ya 1000
wenyeji hapo wanasema ni viwanja vya Anna Tibaijuka

na ukifika huko Mapinga Bagamoyo nako kuna story kama hizo

swali nalojiuliza je na huyu nae kama ni kweli watamnyang'anya?

au hii operesheni sio kila mtu?
Swali linabaki, kama ni kweli!
 
HAWEZI NYANGANYWA KWA SABABU YUKO CCM

OVA
Ukifika kigamboni eneo la kisotha kuna eneo kuna viwanja zaidi ya 1000
wenyeji hapo wanasema ni viwanja vya Anna Tibaijuka

na ukifika huko Mapinga Bagamoyo nako kuna story kama hizo

swali nalojiuliza je na huyu nae kama ni kweli watamnyang'anya?

au hii operesheni sio kila mtu?
 
Waziri Lukuvi alizungumzia wote wenye viwanja waviendeleze sio wakae navyo wasubiri eti bei ipande Kwa hiyo zoezi sio Kwa mashamba tu hata viwanja tunataka haki itendeke Kwa wote sio kwa Wapinzani tu
 
Kama Kikamboni viwanja 1000 nivya ANNA inamaana kwamba kama kuna watu 10 wengine kama yy inamaana kigamboni nzima hakuna eneo hata la kuchimba choo bac
 
Mwacheni Rais afanye kazi yake. Tuacheni ushabiki, unacompare kesi ya viwanja na pori haingii akilini! Sumaye anafuga mapori ya hekari zaidi ya 200 bila kuendeleza ayageuze yawe viwanja basi ili tumuache muda si ameshapewa!!
Mmmmghhhh
 
Ukifika kigamboni eneo la kisotha kuna eneo kuna viwanja zaidi ya 1000
wenyeji hapo wanasema ni viwanja vya Anna Tibaijuka

na ukifika huko Mapinga Bagamoyo nako kuna story kama hizo

swali nalojiuliza je na huyu nae kama ni kweli watamnyang'anya?

au hii operesheni sio kila mtu?
Pamoja na kwamba wewe mwenyewe huna uhakika na habari uliyoileta, kwamba ni habari uliyoisikia tu vijiweni, jibu ni kwamba kinachoangaliwa ni uendelezaji wa kiwanja husika.
 
Yaani kuwasikiliza na kuongelea wanamchi, wakati wengine walio na waliokuwa viongozi hawaguswi ni kichefuchefu haswa.
 
Ukifika kigamboni eneo la kisotha kuna eneo kuna viwanja zaidi ya 1000
wenyeji hapo wanasema ni viwanja vya Anna Tibaijuka

na ukifika huko Mapinga Bagamoyo nako kuna story kama hizo

swali nalojiuliza je na huyu nae kama ni kweli watamnyang'anya?

au hii operesheni sio kila mtu?
Mkuu, maneno ya kusema kuwa "ati watu wanasema" bila kuwa na ushahidi, mwisho wake na ni vema ukawa au kwenye vijiwe vya ugimbi na kahawa, na labda, chumbani ma shemeji, lkn si ktk jamvi la GT....hujajifunza lolote juu ya tuhuma za ufisadi zikimuhusu lowassa na sumaye, miaka ya nyuma? Si ilikuwa ni mambo ya "kishoga" ya nasikia kutoka hata kwa makamanda wenzetu waandamizi?
 
Huu sasa upotishaji, muweke na ushahidi, huyo mama hana eneo lolote huko kigamboni, kama angekuwa nalo, nijuavyo toka ameacha uwaziri wangesha mnyanganya kitambo sana. Acheni propaganda mufilisi.wekeni ushahidi mezan, mtu mmoja kumiliki viwanja 1000??mnaona jambo jepesi eeh. ..!Watz hataree
Wewe unaushahidi gani wa kuonyesha hana?
 
Swali zuri sana hili kuna mtu alinitonya huyu Mama kwa kushirikiana na wanawe kawalangua Watanzania wengi sana kwenye viwanja "vyake" vya kigamboni na kujitengenezea pochi kubwa sana.
Mkuu huyu hawezi kunyang'anywa juzi katumwa kutuwakilisha kwenye masuala yanayohusu mambo ya ardhi wakati waziri mwenye dhamana yupo
 
Huu nao uongo mweupe, hakuna aliye juu ya sheria wala kinga. Magufuli kazi yake amesha jipambanua ni kufata sheria na ukweli na haki.

Magufuli hafuati sheria wala haki. He is a populist president.
Jiongeze wewe.
 
Watanzania acheni ushabiki wa kijinga jinga.. Fanyeni kazi
We mwenye kazi huku jf umefata nini? Au na wewe huna kazi kama sisi unaotutuhumu kwamba hatufanyi kazi? Na we Fanya kazi hata ya kuchunguza vigogo wanao jimilikisha ardhi
 
Mafisadi Mkuu wanajuana kwa viremba. Kumbuka issue ya akina Lugumi na Escrow. Huyu mama kuhusika kwake kupokea rushwa ya 1.6 billioni pesa za Escrow hakustahili hata kuendelea kuwemo Bungeni.

Mkuu huyu hawezi kunyang'anywa juzi katumwa kutuwakilisha kwenye masuala yanayohusu mambo ya ardhi wakati waziri mwenye dhamana yupo
 
Back
Top Bottom