Anna Tibaijuka Viwanja vyake watamnyang'anya?

Anna Tibaijuka Viwanja vyake watamnyang'anya?

Hapana,hiyo tumeamua itamuhusu Sumaye na wengine alioambatana nae.
 
ni zao lipi tz linalo stawi kwa wiki mbili ambalo lingenisaidia kulipa ada ya semister ya kwanza.
Muda wote umekaa na shamba kwanini hukujiandaa mapema, wiki mbili kwan hukujua ipo siku utaenda chuo ivyo ujiandae, kuendekeza tu uomba omba, Acha akunyime tena angekujibu ovyo ningekua mimi. Nyinyi ndio mnao letea taifa haibu hata mkisha kuwa watu wazima mbeleni tena wenye elimu, kuendekeza miterezo mwisho mnakua INTELLECTUAL BEGAS. Kuwa yatima so sababu ya kuwa omba omba kikubwa una afya, mikono na miguu, na una resorce tena shamba.
 
Mama Anna ni mbunge wangu nimewahi kumuomba msaada wakati fulani wa ada ya semister baada ya kukosa mkopo wa chuo, alinijibu " kwa sasa nasomesha watoto wa Primary tu ndo uwezo nilio nao" nilipo mtaarifu kuwa basi nimuuzie shamba langu la urithi maana mmi ni Yatima alijibu "liko wapi hilo shamba nitakutafutie mteja" kumbe mteja alikuwa yeye! kwa thread hiyo hapo juu naungana na mtoa mada kuwa huyu mama anamiliki manyarubanja huko Muleba aliyoyapata kwa njia za kuwarubuni walala hoi.
Hahahahaa, nasika huyu mama na mashamba ni kama uji na mgonjwa!
 
Taarifa. Sina plot hata moja Kigamboni. Mwenye ushahidi tofauti aulete. Viwanja vya Kisota ni mali ya ushirika wa wanawake wa nyumba. Viwanja hivyo walipewa na Waziri wa Ardhi aliyenitangulia Mhe John Chiligati. Mimi wakati huo nikiwa UNHABITAT.
Jambo moja linalonishangaza na kunisikitisha. Vijana mnaotakiwa kuwa na elimu na mori wa kujadili mambo/jambo ambalo kimsingi ni zuri. Kwa nini kabla ya kuandika msiyoyajua vizuri hamuendi kwenye sehemu husika kufanya utafiti kidogo? Chairman Mao alisema no research no right to speak. Ukienda Wizara ya Ardhi watakwambia viwanja husika vya Kisota ni vya nani. Lakini uzembe! Mtu anakaa tu kwenye kiti chake anaandika mambo ya kashfa bila hata uchunguzi wowote. Jirekebisheni. Dhambi hizo mbele ya Mwenyezi Mungu kuna siku zitawatafuna. Basi sasa umejua ukweli. Nendeni kawajulishe wananchi unaodai wanadhani viwanja ni vyangu. Si kweli. Mama T
 
Taarifa. Sina plot hata moja Kigamboni. Mwenye ushahidi tofauti aulete. Viwanja vya Kisota ni mali ya ushirika wa wanawake wa nyumba. Viwanja hivyo walipewa na Waziri wa Ardhi aliyenitangulia Mhe John Chiligati. Mimi wakati huo nikiwa UNHABITAT.
Jambo moja linalonishangaza na kunisikitisha. Vijana mnaotakiwa kuwa na elimu na mori wa kujadili mambo/jambo ambalo kimsingi ni zuri. Kwa nini kabla ya kuandika msiyoyajua vizuri hamuendi kwenye sehemu husika kufanya utafiti kidogo? Chairman Mao alisema no research no right to speak. Ukienda Wizara ya Ardhi watakwambia viwanja husika vya Kisota ni vya nani. Lakini uzembe! Mtu anakaa tu kwenye kiti chake anaandika mambo ya kashfa bila hata uchunguzi wowote. Jirekebisheni. Dhambi hizo mbele ya Mwenyezi Mungu kuna siku zitawatafuna. Basi sasa umejua ukweli. Nendeni kawajulishe wananchi unaodai wanadhani viwanja ni vyangu. Si kweli. Mama T
vipi na ile hela ya mboga......samahani lakini
 
Ukifika kigamboni eneo la kisotha kuna eneo kuna viwanja zaidi ya 1000
wenyeji hapo wanasema ni viwanja vya Anna Tibaijuka

na ukifika huko Mapinga Bagamoyo nako kuna story kama hizo

swali nalojiuliza je na huyu nae kama ni kweli watamnyang'anya?

au hii operesheni sio kila mtu?
 
Huu sasa upotishaji, muweke na ushahidi, huyo mama hana eneo lolote huko kigamboni, kama angekuwa nalo, nijuavyo toka ameacha uwaziri wangesha mnyanganya kitambo sana. Acheni propaganda mufilisi.wekeni ushahidi mezan, mtu mmoja kumiliki viwanja 1000??mnaona jambo jepesi eeh. ..!Watz hataree
NItajie vigogo watatu tu ambao hadi sasa wameshanyang'anywa... nimeghairi; nitajie wawili au hata mmoja si mbaya sana!
 
Huu sasa upotishaji, muweke na ushahidi, huyo mama hana eneo lolote huko kigamboni, kama angekuwa nalo, nijuavyo toka ameacha uwaziri wangesha mnyanganya kitambo sana. Acheni propaganda mufilisi.wekeni ushahidi mezan, mtu mmoja kumiliki viwanja 1000??mnaona jambo jepesi eeh. ..!Watz hataree
Usibishe kila kitu.... Hapa mjini kuna watu wana viwanja zaidi ya hivyo na hawana majina makubwa yanayojulikana kwenye media. So wakati mwingine lisemwalo lipo
 
Hizi mada zingine zinatia hasira, inabidi mtu usome wakati umeshiba.

Viwanja elfu moja mtu mmoja.?

Ndio maana nipo Na Magufuli muda wote japo Na mie naisoma Namba.

Kawaida tu kwa mtu kama huyo,,,mi tu mwananchi wa kawaida Nna viwanja kumi,,vitano vina miji, vitano vipo plain,
 
Huu ni mfano hai tunataka Magufuli kushungulikia watu kwenye mambo ya uongo!
 
Hata akinyang'anywa wewe itakusaidia nini ...watz tufanye kazi midomo midomo na majungu wala havitatufikisha kwenye ndoto zetu

Unataka kusema watanzania hawafanyi kazi? are you serious?
 
Huna lolote la maana, unaonesha chuki zako tu binafsi, sasa kama limezinduliwa na kikwete ni kosa? ?hoja haina mashiko,Acha chuki kaza kamba tafuta vyako na wewe. Kama kapata kihalali kwanini iwe nongwa, kikubwa kama kwel haliendelezwi tutasikia, hayo mengine yote ni wivu na uzandiki
Wacha kuhorojoka hapa, we unajua historia ya hilo pori au?
We unajua katumia ubavu kiasi gani na madaraka mpaka kuwapokonya wanakijiji?
Unajua kwanini hekari zote kazungushia senyenge?
*Funga domo lako.
 
si huyu mama alikulia shida na kutembea kilomita kadhaa kwenda shulen
 
watu wa kanda ya ziwa hawaguswi nasikia

Hakuna wa kuthubutu kuwagusa ndo maana wanatoaga kauli za nyodo wakwikwapua Rasilimali ya Taifa hili,,
1: Hizi ni pesa za mboga tu,,
2: Hivi ni Vijisenti,, Mimi ni nyoka wa makengeza najua kutafuta mpunga na kuuficha visiwani kwa faida ya watu wa jimboni kwangu.
 
Hii Haitawagusa Wote Mkuu Ikumbukwe Huyo Mama Tu Hadi Hapo Unajiuliza Amepaje Viwanja 1000 Kigamboni TAKUKURU Wampandishe Haraka Mahakamani
Tunapotakiwa Kuhoji Ilipaswa Huyo Apishe
Mama alikuwa mwizi sana alipopata nafasi ya uwaziri pale Ardhi ila kwa kuwa huyu Mhima ni mkabila sidhani kama atamfanya lolote
 
Alafu eti tunaambiwa kapatikana mtu asiependa rushwa!!
Mkuu rushwa sio lazima upokee fedha hata kuhonga nyumba ya serikali kwa kimada nayo ni rushwa tu. Mhima anatakiwa kulijua hili kuwa hata yey ni mla rushwa
 
Taarifa. Sina plot hata moja Kigamboni. Mwenye ushahidi tofauti aulete. Viwanja vya Kisota ni mali ya ushirika wa wanawake wa nyumba. Viwanja hivyo walipewa na Waziri wa Ardhi aliyenitangulia Mhe John Chiligati. Mimi wakati huo nikiwa UNHABITAT.
Jambo moja linalonishangaza na kunisikitisha. Vijana mnaotakiwa kuwa na elimu na mori wa kujadili mambo/jambo ambalo kimsingi ni zuri. Kwa nini kabla ya kuandika msiyoyajua vizuri hamuendi kwenye sehemu husika kufanya utafiti kidogo? Chairman Mao alisema no research no right to speak. Ukienda Wizara ya Ardhi watakwambia viwanja husika vya Kisota ni vya nani. Lakini uzembe! Mtu anakaa tu kwenye kiti chake anaandika mambo ya kashfa bila hata uchunguzi wowote. Jirekebisheni. Dhambi hizo mbele ya Mwenyezi Mungu kuna siku zitawatafuna. Basi sasa umejua ukweli. Nendeni kawajulishe wananchi unaodai wanadhani viwanja ni vyangu. Si kweli. Mama T
Ngoja nikwambie kitu kama wewe umetumwa na mama tibaijuka "aka tuhela twa mboga" uje ulete utumbo wake humu wakati tunavijua vile viwanja vyake pale kigamboni mwambie "hapa imekula kwake". Namshauri anyamaze vinginevyo tutamwongezea anavyomiliki bagamoyo ambapo mimi ni moja ya majirani zake tuliodhurumiwa shamba la urithi kwa fidia ya kiwanja kimoja. Usinitie hasira
 
Back
Top Bottom