Anna Tibaijuka Viwanja vyake watamnyang'anya?

Anna Tibaijuka Viwanja vyake watamnyang'anya?

Ngoja nikwambie kitu kama wewe umetumwa na mama tibaijuka "aka tuhela twa mboga" uje ulete utumbo wake humu wakati tunavijua vile viwanja vyake pale kigamboni mwambie "hapa imekula kwake". Namshauri anyamaze vinginevyo tutamwongezea anavyomiliki bagamoyo ambapo mimi ni moja ya majirani zake tuliodhurumiwa shamba la urithi kwa fidia ya kiwanja kimoja. Usinitie hasira
Acha polojo wewe goloko kama jina lako,lete ushahidi au peleka kwa mahakama.Punguza taharabu hazisaidiii,muda wa KAZI TU....Mlio zoea kula kwa maneno yasiyo na tija wala mashiko imekula kwenu
 
Ila nae kipindi kile cha sending za viwanja vya kigamboni ulikuwa ameshupalia sana Na ulikuwa mbali sana,na ilifikia mpaka akakorofishana Na baadhi ya watu,huenda ndo maana watu wanaihisi hivyo,pia inawezekana kwani Nani asiyejua ugonjwa wa VIONGOZI wengi wa nchi zetu hizi za kiafrika
 
Ukifika kigamboni eneo la kisotha kuna eneo kuna viwanja zaidi ya 1000
wenyeji hapo wanasema ni viwanja vya Anna Tibaijuka

na ukifika huko Mapinga Bagamoyo nako kuna story kama hizo

swali nalojiuliza je na huyu nae kama ni kweli watamnyang'anya?

au hii operesheni sio kila mtu?

======

Mwendelezo wa habari hii upo hapa=>Prof. Tibaijuka akanusha kumiliki Viwanja Kigamboni


Ukitaka kuthibitisha kuwa ni vyake tangaza kuvinyang'anya, atajitokeza kumtetea anayenyang'anywa
 
Ila nae kipindi kile cha sending za viwanja vya kigamboni ulikuwa ameshupalia sana Na ulikuwa mbali sana,na ilifikia mpaka akakorofishana Na baadhi ya watu,huenda ndo maana watu wanaihisi hivyo,pia inawezekana kwani Nani asiyejua ugonjwa wa VIONGOZI wengi wa nchi zetu hizi za kiafrika


JPM anaposema nchi hii ina madudu ya ajabu ni kweli kuna madudu, kama angekuwa anajua kuchora angechora picha ya madudu hayo sidhani kuna mtu angeyatazama mara mbili
 
Ana shamba kubwa hekari 3000 Muleba ukishakunja barabara ya kuelekea Chato, shamba limezinduliwa na Kikwete. Ajabu halijaendelezwa zaidi ya kuzungushiwa fensi na kujenga vijumba vya wafanyakazi. Huu uroho na umimi utamuua huyu mama.


Ndiyo maana jamaa aliamua kuinyofoa Chato toka upande huo, aliona hazitaiva
 
Hizi mada zingine zinatia hasira, inabidi mtu usome wakati umeshiba.

Viwanja elfu moja mtu mmoja.?

Ndio maana nipo Na Magufuli muda wote japo Na mie naisoma Namba.


Hivyo ni vile vilivyoko kwa wenye access ya JF,

Naamini ziara nyingi za viongozi zilikuwa ni kwaajili ya miradi binafsi, vyeo ilikiwa ni gia ya kuaga ofisini ili wavute masurufu
 
Back
Top Bottom